Wanaoucheza muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio anapita kwenye barabara ya kimuziki iliyochongwa na kuwekwa lami kwa tabu na Saleh Jabir ambaye kwa mara...
Nitangulize salamu na heshima kwenu wana JF mimi ni mwanamme wa makamo
ilipofika mwaka 2016 mwezi wa 8 nilifanikiwa kuuaga ukapela ilipofika mwaka 2017 mwezi wa 7 nilijaaliwa kuitwa baba kwa Mara ya kwanza.
Mpaka asaiv mtoto Wangu ana umri wa miezi 6 na siku kadhaaa sasa jana natoka...
Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu.
Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne:
• PROTEIN,
• ACID,
• SPERM au CHROMOSOME,
• VIRUS.
PROTEIN: Ni aina mojawapo ya “Food
Substance” inayorutubisha mwili. Substance hii
inapatikana ndani ya manii na pia watu wa
mambo ya reproduction system (mfumo wa...
Naitaji zile sijui nisemeje ili nieleweke ila nahisi mtanielewa...
Naitaji zile nanilii za kuulia mbu zile ambazo unqchomeka katika umeme alafu inakuwa kama INA ki tube light kikiwaka kile mbu akifata anapigwa short.. Hii nnayozungumzia ni ile ya kuchomeka ktk umeme .... Naitaji kujua naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.