kwetu watoto wa kiume wanatahiriwa wakiwa na weeks tangu kuzaliwa...akitoka 40 kashapona kidonda..
habari za uume utakua mfupi au mrefu...sijui kwa kwli
Sifa ya kwanza ni uwe muislamu,sifa ya pili mwanamke...tuma message ya kawaida to 0654670420 utapewa utaratibu..kiingilio ni sh 5000...na sadaqa ya kila mwezi kima cha chini ni sh 5000
siwezi kusema naila sababu inatokea mara chache mno...yaan umeme ukatike na iwe usiku siwezi kwenda kwny mpesa au tgopesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona ni nidhamu tu..
Mimi ni mueka hazina wa kikundi chetu cha sadaqa cha wanawake watupu...Ninakaa na zaidi ya 5M kwa mwaka na sijawahi kula hela yao...na hata ikitokea nmeishiwa luku usiku nikanunua kwa hela ya sadaqa (hela zinakaa kwny simu) basi lazima niirudishe lazima!!!
Muhimu ni...
Mziki unaouskiliza unaaacha athari katika nafsi yako..ndio maana waislam tumesisitizwa sana kusoma quran ili tupate athari ya darsa lililomo humo..
Anyways hakuna jipya mwanadamu ataimba ambalo hakipo katika quran na mafundisho ya mtume wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.