Unavyosema inatakiwa mfanyabiashara apandishe bei ili apate faida unamaanisha nini?
Ninachojua bei ya vitu vingi vya maduka haya ya mtaani bei zake zinajulikana.
Kuna siku nilikuwa na stress zangu, mteja akauliza hiyo bidhaa fulani hapo sh ngapi? Nikamtajia bei. Eti anashtuka haaa mbona ghali sana, mbona pale marenga wanauza elfu 15 tu. Nikamwambia sasa hapa ni kwa marenga.
Nafikiri aliogopa nilivyomjibu, akainunua ile bidhaa. Lakini nilijistukia...
Hapa nimepata kitu... Shukrani
Ila kama waliwai kuwa na huo uteule, basi tuwaombee huo uteule wao urudi labda watakaa kwa amani. Inawezekana kutokana na dhambi yao ya kuukataa uteule ndio maana wanaishi kwa wasiwasi miaka yote km nguchiro akiwa porini
Aise mkuu upo sawa kweli? Mbona unalazimisha ubishi ambao haupo. Nani kasema Yesu alikuwa mkristo?
Yeye mwenyewe Yesu ndio alikuwa kristo alafu wafuasi wake ndio wakristo.
Mimi kule mwanzoni nilitaka kukuweka sawa, kukwambia hakuna mtu anayesema Yesu alikuwa mkristo, bali yeye ndio...
Sasa hapa mbona tunaongea lugha moja boss, kwa maana ya wafuasi wa mpakwa mafuta au anointed one.
Sasa kama unataka kusema Yesu hakuwa Kristo(kwa maana ya Kristo ina maana ni mpakwa mafuta) hiyo ni mada nyingine inatakiwa ichambuliwe kwa kina zaidi.
Hata kipindi kile wa Israel wakiwa Misri walimkataa Mungu wao, wakamtumikia mungu wa farao lkn Mungu wao hakuwaacha alikuja kuwarudia baada ya miaka 400.
Wa Israel walivyokuwa jangwa wakienda kaanani, walimkataa Mungu wao lakini Mungu wao hakuwaacha bado alindelea kuwapigania.
Hata baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.