Ukiwaendekeza ndugu hufiki kokote na mwisho wa siku wao ndio wanakuteta kwamba una kazi ila hauna maendeleo,katika mshahara tenga kiasi fulani cha kusaidia ndugu wa karibu au muhimu zaidi mfano wadogo zako wa damu ndio uwape kipaumbele au wazazi,shida zikizidi kiasi waambie hauna,kiasi...
Tatzo watanzania kila kitu tunakichukua huku tukikiunganisha na makasiriko yetu binafsi ya maisha magumu,wazungu wana vitu vinaitwa sense humour yani ucheshi na utani,msiwe serious sana jamani mtakufa au kuzeeka mapema eh
Hii staili binafsi siipendi kabisa,mimi naamini jikoni ni sehemu nyeti mno,sababu huko ndiko chakula kinapoandaliwa na chakula ni usafi na unyeti lakini ni moja kati ya siri za familia kama yalivyo mambo ya chumbani,binafsi kwangu huwa sipendi mtu asiyehusika na familia kusogea jikoni kwahyo...
Badala ya kuwaza jinsi gani utapata pesa zaidi unawaza jinsi gani utalala zaidi na kuota ndoto za kijinga zenye watu unaowataka?kweli binadamu tunatofautiana
Mleta uzi hakueleweka na watu wengi sana na matokeo yake wengi wamepanick na kudhani ulinzi unaozungumziwa ni kama wa rais hivi au kama wa Diamond platinums wa mabodigadi kibao,jamani ulinzi uliozungumziwa ni wa kiutaratibu tu kutokana na wadhifa alionao huyu Dr,yeye ukiacha huo u prof ambao...
Dah haya mambo nimefanya enzi hizo nikiwa chuo lakini sasa hivi mwisho vitatu kwa michepuko,mke kimoja au viwili,na kwa michepuko sikomai sana maana ukichimbua sana unatafuta michubuko na maambukizi ya virusi tu,
Endelea kupiga nyeto mpaka utakapopata mwenza wa kukukata kiu ndio mbadala wa nyeto bila hivyo unatafuta kubaka au kutongoza hata usiotakiwa kuwatongoza.binafsi ni mpiga nyeto mzuri tu maana nilikuja kugundua kwamba nisipopiga nyeto nafanya vitu vya ajabu sana sababu nyege zinanituma kutongoza...
Mnazingua mnaiwaza elfu 28 kweli?weka kifurushi cha elf 28 kuepuka kero.kama uwezo unaruhusu weka na dstv hapo kifurushi kikubwa maisha yanakuwa burudani,
Aisee usiombe mwanamke awe na hamu lakini kila ukipiga hatosheki,utajuta,nakwambia hivi utajuta.mimi mke wangu huwa sik mtu wa hamuhamu sana so akatumia hizo pipi za kumeza mwanzo niliona raha kapata nyege tukapiga show kali lakini hamu yake haikati mwisho nikaishiwa hamu na nguvu ya kuendelea...
Kimara ndio usiseme siku za kazi lazima umeme ukatike,nafuu IPO weekend jmosi na jpili,nazo wakiamua wanapita nao mpaka usiku wa manane toka walipokata asubuhi au mchana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.