Kwa quality of life USA is far much better, kwa sasa kazi ni nyingi sana na hawana watu. Elimu ni bure kama una watoto watasima bure na wanapata best education hapo kwetu ukitaka hiyo best education ni pesa ndefu sana.
Pole sana ila huyo ni damu yako na watoto wako watamuita shangazi. Usishangae wana rithi hizo tabia. Wewe jinyamazie ombea watoto wako wasiwe hivyo tu.
Pamoja na njaa zao ila kwa Olympic hata gold medal wanazo sisi tulioshiba sijuiw tumeshiba mpk tunavimbiwa hata kukimbia hatuwezi.
Wakenya kama umewagunduaw huwa priority zao sio chakula wala mavazi kama sisi.
Hahaha nakumbuka wifi yangu alimwambia kaka wkti ni mgonjwa si uwafuate hao ndugu zako waku uguze maana wao si ulikuwa unawaona wa maana mimi ukaniona ni bwege mtozeni 😂😂
Hujawajua wanawake huwa hawasahau hata kama ni miaka 50 iliyopita.
Utashangaa umezeeka zako una miaka 80 unaumwa mke na yeye ni kikongwe ila atakuambia wale wanawake zako uliokuwa unahangaika nao wako wapi? Si waje kukuuguza.
Ukimkuta mkorofi nzaidi atakutajia jina mpk eneo na hao michepuko wako.
Umesema ukweli upendo wa mama kwa mtoto ni wa damu ila upendo kwa mke unaunganishwa na watoto wenu. Hata mama ako si ndugu wa babako but siku ukiona mama ako anamistreat babayako hutafurahia kabisa kwa kuwa baba na yeye ni damu yako.
Mke unakula nae kiapo kile kiapo huwa una ingia na Mungu so...
Nikiwa kama mama always huwa nawaambia vijana wangu waheshimu sana wake zao maana hao ndio mama za watoto na hao ndio watabaki nao.
Mimi siku zangu zinahesabika umri umeenda hata leo nikisikia kijana wangu ni mgonjwa sitaweza kwenda kumuogesha ni huyo mke wake ndio anaweza.
Nikifa atabaki na...
Inategemea ila kuna koo zinawaambiwa mabinti zao kaeni mbali na hao wanyama.
Kuna binti wa rafiki yangu alileta kijana kutoka kanda pendwa baba ake alimwambia kaa mbali na hao wanyama. Binti anasema wanyama gani ni watu akamwambia waangalie vizuri na usitake ni kuachie laana maana utaniharibia...
Kwa wanawake haisadii unaweza zaa hata na wanawake 100 lakini watoto wote wakashikana na mama zao after all wao wanakuona ulikuwa mzinzi na kazi yako ilikuwa ni kustarehe na wanawake huku ukitelekeza mama zao. Nimeona sana kwa babu zangu pamoja na wengine kuzaa na wanawake wengi still walikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.