Search results

  1. M

    Ni Raha Ilioje?

    Ni raha ilioje kupendwa unako penda? Mungu atubariki sana.
  2. M

    JF is not a place to be serious guys....lets laugh n have fun

    Tufurahi pamoja[emoji2] [emoji2] [emoji2]
  3. M

    Looking for a handsome man aged 32 - 40

    Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae...
  4. M

    Moyo Mpweke

    I need Love, I need Love , I need Love Hi guys iam back...nahitaji kupendwa mpaka nisahau shida, msaada tafadhali....[emoji177][emoji178][emoji179]
  5. M

    Ombi langu kuu: Natamani niwe furaha ya mume wangu

    Natamani sana niwe furaha ya Mume wangu,amani yake pamoja na msaada wake pale anapohitaji....Mungu aniwezeshe kufanya hayo.....
  6. M

    Mrejesho: Nashkuru sana nimepata mtu niliyekuwa namtafuta.. Big Up to JF

    Juz nilipost kutafta mwenza wangu, Namshkuru Mungu nimepata na mambo yanaenda vizur sana.. Thanks kwa wote waliotoa ushirikiano... Nakupenda "F" na karibu kwenye maisha yangu..
  7. M

    Niko tayari kuolewa na muislamu

    Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
  8. M

    Maajabu ya mwanaume niliyenae

    Habari zenu wana JamiiForums, Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani. Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila...
Back
Top Bottom