NAFASI ZA KAZI KWENYE MAKAMPUNI MBALI MBALI ZIMETANGAZWA LEO HII
Unachotakiwa kufanya ni kuBofya kwenye link hapo kujua zaidi, then wasambazie na wenzio kwenye magroup yao watume maombi yao faster
Nafasi za kazi Mohammed Enterprises Tanzania limited (METL) 2 Job Opportunities at Mohammed...
Kama tittle inavoelezea, naomba anaeijua vizuri south africa kuhusu upatikanaji wa kazi, mishahara yao kwa kazi tofauti tofauti kulingana na kazi, vipi upoje life security yake, kipi kinahitajika ukitaka kwenda kule, kama huna ndugu wala jamaa utafikaje kule na kazi utaipataje? Nimeuliza...
Naomba nijuze jins ya kupata kazi nchi za nje, ziwe za oficini au makampuni. Mfano USA au Dubai. Nasikia huwa kuna ma agent ila sina uhakika na hilo. Naomba anaejua zaid anisaidie tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipatie dagaa wa bukoba namba 1 wasiokuwa na mchanga hata chembe kwa bei ya jumla na rejareja. Tupo dar es salaam. Tupigie kwa namba 0656005004, 0759958244.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.