Najivunia Rais wangu ambaye daima amehubiri kwamba haya masuala ya vyama yasitugawe, sisi ni wamoja, kwa kuonesha anamaanisha anachoongea ktk teuzi zake anaangalia elimu au uwezo wa mtu ktk kusimamia jambo ili nchi isonge mbele. Wenye mawazo mgando bado wanataka kutuaminisha kila kinachosemwa na...
Achana na watoto washule, wasaidie kufikisha malengo yao badala ya kushawishika na mitego huku ukijua wapo ktk kundi rika linalohitaji msaada wa elimu ya kujitambua. Ukikosa msimamo utagonga mpaka vichaa
Nchi inahitaji Rais mwenye maamuzi na baadhi ya watu tuliomba tupate Rais mwenye element za kiudikteta ili nchi isonge mbele badala ya kusikia maandamano yasiyo na vichwa na ufisadi uliotamalaki. Changamoto iliyopo sasa ni kukosekana kwa standard ktk kushughulikia baadhi ya insue
Jambo la msingi ni kumsaidia na siyo kumdharirisha kama kweli umempenda na umahitaji kuwa mama wa watoto wako baada ya kujiridhisha uzuri wa ndani alionao yaani uwezo wa kufikiri,kuamua na kutenda. Dawa zipo japo nyingi ni za asili. Kwa maana ya hospital atashauriwa aoge mara kwa mara na kumbe...
Ubinafsi wa kujitosheleza kuliko kumtosheleza mke kunamfanya kujilengesha ili kukidhi haja zake kama binadamu. Wanawake wasiosuguliwa vizuri na waume zao ndiyo wenye matatizo ya kuumwa mgongo na anapompata shababi matatizo kwishney
Tatizo linaanza wakati wa mahusiano, kama ulificha rangi yako halisi hapo mwanzo huo ndiyo mshahara wake pia kama kumpata kwako ulimuona kama ngekewa hayo ni malipizi yake.
Wadau Mimi na jamaa zangu tumeanzisha asasi ya kiraia inayohusiana na masuala ya uelimishaji umma na mazingira tangu Mwaka 2015.
Changamoto ni namna ya kupata wahisani wa kusaidia shughuli zetu. Jitihada za kuomba ubalozi wa Marekani na Oxform hazijazaa matunda. Naomba kujulishwa wadau wengine...
Misingi ya azimio la Arusha ni jawabu kwa mambo mengi, naamini chama kinaweza kujitafakari upya kuhusiana na suala hili na kuja na maboresho ktk kusimamia chama na serikali. Habari ya wanyonge ni propaganda isiyo na mkakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.