Kuna mikutano ilikuwa ya kuombea mtu apone baada ya kushambuliwa kwa risasi nyongi ilipigwa marufuku ila maandamano ndio hayana shida ee.. Mungu hadhihakiwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Badili mtazamo....wengine tukiona tunajifunza kuvipika then mambo yanakuwa sawa...yan tunabadilksha kutoka kwenye picha kuja kuja kwenye real misosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushetani huo. Hujawahi kujitathmini ukaona una sifa gani nzuri kuliko hizo changamoto ndogo ndogo? Unaonekana unesoma soma...nani walikuwa wanakulipia kama hawakujali?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.