Kuna ndugu yangu kung'amuzi chake ni Cha zamani,ila ghafla tu hakionyeshi,yaani hakipitishi moto kabisa,anauliza mnatengeneza Bure au mpaka alipie,au akirudisha Cha zamani Ili apate kipya Kuna punguzo?
Kwema wakuu? Jamani nasumbuliwa na fungus wa vidoleni mikononi,nimetumia dawa nyingi lakini siponi, naomba anaejua dawa aniambie
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.