Wakuu naombeni msaada wa kupata program ya video converter nataka kuconvert nyimbo za video mp4 kwenda DVD au kama kuna mtu ana jua free link yoyote yenye program hizo anitupie hapa jamvini shukrani wakuu.
Kijiji cha Kaseke juu jimbo la Kigoma Kusini kimelindima kwa shangwe baada ya mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya CCM Naftari Bitonze kubwagwa chini na ABEL KENGANA wa CHADEMA kwenye kesi ya uchaguzi iliyoamuliwa leo na mahakama wanakijiji wanamtuhumu Naftari na chama chake cha CCM walichakachua...
Wataalamu wa IT naomba kufahamu hivi IPAD ndio kitu gani na kina kazi gani maana wanasema MH ZITTO ndio mmbunge wa kwanza kutumia bungeni na gharama yake ni shillingi ngapi?shukrani wakuu.
Nimeamua kujipenyeza ndani ya bahari ya jamii hii iliyo staarabika na kutoa michango inayotupanua kifikra na kutufanyatufikiri kwa mapana mambo mbalimbali.hongereni wanajamvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.