Siku zote tulikuwa tunalia na nchi kukosa rais atayeweza kuthubutu kuwagusa vigogo wa nchi hii sasa tumempata bado tunamtukana tulitaka nini? Daaah usiombe utakapata hoja unayoamini kuwa itakupeleka ikulu harafu gafla unaona kama vile inashugulikiwa
Hapa kwa kweli kuna kitu kama ambacho huwa nakiona sehemu za sheria, kuwa Hakimu au jaji hakosei bali hata kama kakosea hupaswi kumwambia kakosea ila unapaswa kumbembeleza kwa kauli hii "mh Hakimu sheria imekuongoza vibaya" nawaki yeye ndiye kakosea, hivo na mwanaume anaamini kuwa hakosei bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.