Hizo nyimbo zote bado hazijafikia ladha ya ngoma zilizoanzia 2003-2010'acha kabisa.kipindi hicho juma nature ndio kama mondi wa sasa, Crew zilikua zinashindana kutoa ngoma mpk msikilizaji anafrahi.kipindi hicho hakuna singeli wala wabana pua.
Hii izidi kutukumbusha sote kuwa tu wapitaji tu hapa duniani hvyo hatuna budi kutengeneza mambo yetu na Muumba wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi na muyazungumze mkuu, kila mmoja awe wazi kwa mwingine, coz suspicious yko kwake yaweza kuwa wrong na ukapoteza mke wa maisha yako. Vivyo hvyo yaweza kuwa kweli na ukapoteza mda wako. Naamin sana ktk mazungumzo,.
Yote tunafanya ndugu, baadhi ya wateja wetu huomba tuwape list ya components then wanayaleta wenyewe sisi tunaandaa, na wengine hutupa jukumu la kudeal na issue yote, so ni mteja tu atakavyopenda yeye.
Hapana mkuu, tunatengeneza on spot kwenye sherehe, yaan wakt wapishi wanashughulika na suala la mlo, na sisi pia tunakuwa hapo hapo tunaandaa salad na matunda, mwenye sherehe huwa tunampa list ya matunda salad components na vitu vingine tunavyohitaji then sisi tunakuja kuandaa, kupeleka ukumbini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.