Kwani alipomtaja alimtaja kama mwenyekiti wa yanga au Manji km Manji?...anajaribu kutafuta followers tu hatakiwi kuihusisha club na mambo take binafsi kazingua
Wakat serikal inahis inamkomoa lissu kwa kumkamata kumbe inawezekana kabisa Tundu alifanya alichofanya kwa makusudi ili akamatwe halafu kupitia kesi yake alipue anachotaka kulipua...huyu jamaa ana akili nyingi hadi anaudhi.
Huyu mtoto anapewa kiki za kiboya wakat Kazi zake hazisikiki mtaani uboya huo..matokeo yake jina kubwaaa ukija kuskia ngoma mimavi mitupu nyie mizukule kama ww mtoa post tafuteni nyimbo sake zitupieni humu tuskie siyo habar za Leo kavaa singlend Mara kesho kanyoa kiduku I don't think if we have...
Siyo Tongwa ni Togwa nashukuru kwa kuandika booooonge la uzi na ww ni team mond ili kujifurahisha nafsi safi sisi tupo tunasubir shit nyingine kutoka kwa king hatubishan na watoto kiba nyimbo 1 tuzo laki tena bila kolabo no presha come down bro na subir sindano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.