Search results

  1. kirikou1

    Maisha Yako ya sasa ni Matokeo ya family background yako

    OT: Kuna mmoja alisema napaswa kumpa jina mtoto like precious, gifts, loveness etc ila nisimwite like tata, madiba, liti, Ghati etc kwamba majina haya yamejaa laaana na mikosi. Nikizingatia heading bila content, naenda kidogo tofauti na wewe. Tuna fugures nyingi ambazo ni vielelezo tosha kutoka...
  2. kirikou1

    Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

    Mkuu, wote hawa baba yao ni mmoja. Sioni hawa makuhani kama wako nje ya mfumo. Rejea UKABAILA mmiliki wa mali mkubwa na mifumo yake
  3. kirikou1

    Kwanini iwe Watanzania vs Wakenya na si vinginevyo?

    Umetumia kipimo gani kwamba wananchi wake ni mbulula?
  4. kirikou1

    Naomba kufahamishwa kuhusu Nabii Dkt Elia Mahela

    Mkuu kabla ya mapinduzi ya viwanda, njia kuu ya uchumi ilikua feudalism na mmiliki wa ardhi lilikua kanisa. Madhani haya tunayoyaona ni echoes za waliotangulia
  5. kirikou1

    Askofu Maboya: Nyerere alipoikumbatia Palestine tukaanza kupata misukosuko ya Njaa hatimaye Vita, kila aibarikiye Israel atabarikiwa!

    Mmmmm!!!!! Sababu ya njaa vita vya Uganda na kuvunjika kwa Jumuiya nayo inahiitaji Munguu wa waisraeli ndio apange kisa nyerere anaisemea palestina? nadhani anapaswa kutoka nje ya box ili kuelewa mambo the same na wenzake wa upande wa pili hapo watakua na mawazo huru ya kiuchambuzi
  6. kirikou1

    Je ni Kweli shahada ya pili haitambuliki kwa watumishi wa Serikali?

    Na hapo afya inategemea specialist yako. Nursing masters na pediatrician wote wana masters lakini wakipeleka vyeti utumishi mmoja anabadili muundo na mshahara unaongezeka mwingine ataambiwa asante kwa kuongeza maarifa kichwani.
  7. kirikou1

    Chonde chonde mtumishi au mjasiriamali, usikope Bayport kabisa, ni wahuni na matapeli

    Hivi kwani salaryslip si inaonesha deni lililobKi?
  8. kirikou1

    Jina lako na Hatima ya kesho yako

    What if nikimrithisha jina la kadinali rugambwa?
  9. kirikou1

    Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Nadhani hiki pia alikipata Oprah Winfrey Switzerland kwamba huyu definitely hana pesa ya kuingia duka hili. Katika kuchukulia positive jambo inategemea na impression ulivyochukuliwa at first kwakuwa kama wangeandika kuwa hapa ni kwa weupe tu wala nisingekanyaga kwakuwa tayari nimeona bango...
  10. kirikou1

    Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Safi sana, naona protea flower hapo. KMN, atlas plateaus na ruwenzori mwa sasa zipo kwenye basketlist kujifua nijipange mfuko kwa ajili ya everest peak.
  11. kirikou1

    Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Nimewahi kubaguliwa two times zanzibar na udzungwa. Nadhani shida iliyopo ni mentality ya kuhisi kila mtanzania anaeenda kutalii ni mtu anayehitaji huruma za mtembezaji/kampuni. Mpaka unanipigia mahesabu ya kunizungusha/kunihudumia means hicho ulichonipangia kulipa ndio stahiki yako kulipwa...
  12. kirikou1

    Naomba kufahamu umuhimu wa ukasimishaji wa madaraka kiongozi wa nchi anapokuwa nje ya ofisi!

    Kuna majukumu mkasimishwaji lazima aombe go ahead, mwenye ofisilazima awe briefed kwa kila jambo linaloendelea (rejea enzi za kikwete yupo ulaya na waziri mkuu akiwa mizengo kp) Kukasimisha kwa baadhi ya ofisi ni almost a half. Halafu hiyo ATCL nadhani nusu imekua booked na gavo means mbuzi wa...
  13. kirikou1

    Mo Dewji Scholarship 2023 imefunguliwa rasmi.

    Rejea Makamba (Sr) akiwa jukwaani. Nadhani ndio anaongoza kusoma vifungu kuliko mwanaCCM yoyote pale Lumumba
  14. kirikou1

    Wamasai kaeni tu mkoani mmejaa sana Dar manaaibisha aisee

    Hii ya ku-tune kila mtu channel yake ni kioja cha mwaka kutoka kwa maasai[emoji2][emoji2]
  15. kirikou1

    Doha: Rais Samia azungumza na Sheikha Moza

    Walahi peponi ataingia shehe kipozeo tu. Niliamua kunyamaza maana mwanasheria wangu anaumwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom