Mtoa mada unaijua, Association sportive des Forces armées royales a.k.a Far Rabat
Misri kuna timu za majeshi El Entag El Harby Sporting Club, Botswana kuna Botswana Defence Force, Russia, Gambia mpaka Spain zipo.
Issue ni perfomance ya timu za Bongo ila siyo kitu kibaya majeshi kuwa na timu...
Umeongea ukweli mtupu... hiyo garage yao nilienda pembeni nikanunua kiepe! Aisee safari iliharibikia hapo na nilipofika nilikaa siku 3 sijakaa sawa gharama kibao mpaka kurudi sawa. In short siwezi kurudia kupanda hilo bus kwa hiyo route.
Shule haina viwanja vya michezo! Au sijaona vizuri!? Inabidi takwa moja wapo la mamlaka kutoa certificate ya shule iwe ni uwepo wa eneo la watoto kucheza.
Mtoto kukosa sehemu ya kucheza na wenzake ina athari mbaya sana kwenye ukuaji wa kitaaluma na kijamii.
Otherwise majengo mazuri na huyu...
Wapo wenye rangi kama ya Punda milia. Nataka awe anafanana na kaukuta cha bustani yangu.
Kama wapo wa hivyo tuma picha, lengo awe anakaa kwenye maua siku nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.