Habari zenu ndugu,
Naombeni ushauri kuhusu course ya pharmaceutical science maana kuna watu wengi baadhi wanasema ni course ambayo hainaga dili kabisa wanadai bora kusomea ualimu tu na sio hii course.
Kwa wenye uelewa na naombeni ushauri.. Natanguliza shukrani kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.