andry Kazimoto
Member
- Sep 28, 2016
- 8
- 0
Habari zenu ndugu,
Naombeni ushauri kuhusu course ya pharmaceutical science maana kuna watu wengi baadhi wanasema ni course ambayo hainaga dili kabisa wanadai bora kusomea ualimu tu na sio hii course.
Kwa wenye uelewa na naombeni ushauri.. Natanguliza shukrani kwenu.
Naombeni ushauri kuhusu course ya pharmaceutical science maana kuna watu wengi baadhi wanasema ni course ambayo hainaga dili kabisa wanadai bora kusomea ualimu tu na sio hii course.
Kwa wenye uelewa na naombeni ushauri.. Natanguliza shukrani kwenu.