Mimi ni muathirika wa ugonjwa wa Kisukari lakini kutoka na kufuata masharti na kutumia dawa za aina mbali mbali naona sukari iko normal kabla sijala inasoma tano nikiwa nmekula ni saba na vipoint
Shida ni kua mwili wangu bado umendea kua dhaifu sana, uchovu mwng yan bado sina aman nmeshapima...
Mimi ni muathirika wa ugonjwa wa Kisukari lakini kutoka na kufuata masharti na kutumia dawa za aina mbali mbali naona sukari iko normal kabla sijala inasoma tano nikiwa nmekula ni saba na vipoint
Shida ni kua mwili wangu bado umendea kua dhaifu sana, uchovu mwng yan bado sina aman nmeshapima...
Kuna siku nlipost jambo la siri huku nashangaa rafiki zangu wanaonifahamu wakaanza kunishangaa na kunipigia simu ebu nisaidieni nlikosea wapi na huku najua ni siri?
Habari za huku,
Naomba kwa anaejua madhara ya juisi ya viazi mvirngo anisaidie mana nimekua nikiitumia kama tiba ya vidonda vya tumbo (kuondoa acid tumboni au kupunguza ges) lakin naona kila nikiangalia google wanasema kama una matatizo ya kuumwa viungo vya mwili usiitumie kabisa sasa nashndwa...
Kama nlivyoeleza mkuu mimi si mlevi ila siku moja moja nkitaka angalau ku apdate akili huwa napenda kunywa kidgo tu si mtu ambaye nmejiweka huko ki vile hapana, naweza kaa hata miez mitatu sijagusa ila nmegundua sina kitu kingne cha angalau kutuliza akili yangu siku moja moja zaid ya hiyo mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.