Habari za huku,
Naomba kwa anaejua madhara ya juisi ya viazi mvirngo anisaidie mana nimekua nikiitumia kama tiba ya vidonda vya tumbo (kuondoa acid tumboni au kupunguza ges) lakin naona kila nikiangalia google wanasema kama una matatizo ya kuumwa viungo vya mwili usiitumie kabisa sasa nashndwa kuelewa labda inakua na shda gani?
Naomba kwa anaejua madhara ya juisi ya viazi mvirngo anisaidie mana nimekua nikiitumia kama tiba ya vidonda vya tumbo (kuondoa acid tumboni au kupunguza ges) lakin naona kila nikiangalia google wanasema kama una matatizo ya kuumwa viungo vya mwili usiitumie kabisa sasa nashndwa kuelewa labda inakua na shda gani?