Ndugu wana jf, kuna ishu hi ya female genital mutilation imekuwa ikikemewa sana na mataifa ya magharibi kuwa ni tamaduni ambazo hazina umuhimu na ni zakukemewa.
Kwa mtizamo wangu naona hii ishu inalazimishwa na mataifa makubwa kwa mataifa yetu ya kimaskini.
Swali, je kweli kuna madhara...
Ndugu habari zenu.
Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa.
Bei 8,250,000 tsh
Maelewano yapo
Gari lipo dar
Namba yake ya simu 0716554555.
Gari imetembea kilometa 100,300
GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100
Announced 2012, February
Status Available. Released 2012, May
BODY Dimensions 134.4 x 69.9 x 8.9 mm
Weight 130 g
- Touch-sensitive controls
DISPLAY Type Super IPS LCD2 capacitive touchscreen, 16M...
habari zenu wakuu,
mimi ni mteja wa internet katika mitandao mbalimbali tanzania, kasi ya internet imekuwa si nzuri kwa muda mrefu kweli.
juzi nilijiunga na kifurushi cha vodacom cha bomba7,nilijiunga kwenye sim yangu ya htc android,sema kweli siku amini spidi niliye iona.ni ya kasi ya...
habari zenu wakuu kuna iPad 2 yenye 3g na WiFi IPO kwenye hali ya upya.imetumika wiki tatu tu!.
bei 850,000 tsh maelewano yapo.
pigs 0688112112 au 0719223225
wakuu kuna ipad one 64 gb WIFI 3g used for 1.5 month.
ios 4
scratchlss best condtion just charger na cover nyeusi ya kufunika kote.
najaribu kuweka picha inagoma.
bei 720,000 tsh
maelewano yapoo
piga 0688033330
Nauza kwa bei 450,000 nimetumia miezi miwili
GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
Announced 2010, December
Status Available. Released 2011, April
BODY Dimensions 120 x 62 x 11.6 mm
Weight 130 g
- Touch-sensitive controls
DISPLAY Type TFT capacitive...
nokia wametoa sim yenye uwezo wa 41 mp,ln kinacho shangaza ni kubwa ina sensor tano za 5 mp na toleo la mwisho la picha ni 5mp.yaani sijaelewa kabisa kuhusu camera yake.
Sharobaro amepata mchuchu mpya. Siku hiyo usiku akampigia simu: sharobaro: hellow. Demu:hellow darling sharobaro: are you eyes? Demu: what? Sharobaro: are you eyes this time? Demu: whaaat?
Jamani kumbe sharobaro alikuwa anamaanisha upo macho?
Mtu na mkewe wanagombana chumbani, ghafla ugomvi unakuwa mkubwa mke anaamua kukusanya vitu vyake kwa lengo la kuondoka. Mume anashangaa anamuulizaa: Unakusanya vitu unaenda wapi? Mke kwa nyodo anajibu: Nakwenda kwa mama yangu.
Mume naye akaanza kukusanya nguo zake na kuweka kwenye mabegi yake...
wakuu nauza ipad 2.kwa bei ya 950000.ipo kwenye hali nzuri sana.nimetumia miezi miwili tu. anaetaka tuwasiliane kwa 0719223225. au uni pm
nimejaribu kuweka picha imekataa.
Huang Chuncai
Huang Chuncai ( Chinese: 黃春才 ) (b. 1977) is a
Chinese man who became famous for being " China's
Elephant man". He is suffering from an extreme case
of neurofibromatosis , which caused such large
tumours on his face that they had completely
distorted his...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.