Heshima yenu wakuu,
Nimekaa nikatafakari sana kuhusu kifo cha kinyama kabisa cha yule binti wa Makumira.
Wengi wetu habari tulizo zipata mitandaoni ni kuwa alibakwa na wahuni mpaka kupelekea mauti yake.
Hilo sina uhakika nalo sana kwa sababu sijui report ya postmortem ilisema nini ,huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.