Sawa.
Hakuwa polisi.
Uko sahihi.
Je ni nani kumbe?
Yuko wapi na silaha yake?
Alitumwa?
Na nani?
Hawezi kufanya tukio baya zaidi uraiani?
Kuna sheria inayomlinda kwa alichofanya?
Nape yeye alichukulie vipi jibu lako?
Je aachwe tuu?
Yes aachwe kama wavamizi wengine!!!!
Now naelewa.
Yes...
Nimekuelewa saaana. Yes. Upinzani sasa basi. Ndiyo. Vyama vifutwe. Sahihi. Tubaki na chama kimoja. Ni sawa. Tukubaliane na kila kitu. Hakika. Tusikosoe tena. Yaap. Kila kitu ni ndiyooo. Tutafanikiwa sana. Chama kimoja.
Ila pia hakuna kuzalisga wasomi kabisaaaaa. Maana haina haja tena. Si...
Alichokifanya dingi wa bongo si haba kwa kuanzia. Ila yatakiwa marekebisho kidogo ktk hili
Ilitakiwa isomeke hiviii
Anafanya jitiada za kunusuru kizazi hiki ili kisiteketee kwa matumizi ya madawa ya kulevya
Hapo sasa ndo angetolea mfano
: 1-Chid Benz
: 2-Wema Sepetu
: 3-.....
NK
Sasa katika...
Mungu wangu. Roho imeniuma ujue we Faiza. Ee Mungu tunusuru. Hata kwa bhangi hii haiwezekani. Maiti yenyewe inavalishwa vazi stahiki sembuse we uliye hai
Sitaki hata kusoma kilichojiri. Kama huo ndo uamuzi sahihi basi kila mtu kwa nafasi yake awajibike. Haitoshi kuwawajibisha wakuu wa shule tu. Nanyi maafisa elimu ngazi zote Kigamboni ng'atukeni. Utakaliaje hicho kiti kwa wadhifa wako ilihali mambo hayako sawa? Kumbuka utendaji wenu unategemeana...
Kuna jamaa fulani nae ni mjeda jina lake ni mbuzi. Je yawezekana ndo Mbuzi anaezungumziwa hapa? Jamaa anaishi mitaa ya kimara baruti. Ni kauzu yule bwana loooh. Pengine ni yeye. Mama Mbuzi unaitiwa mumeooooo[emoji16]
Heri yako. Mwenzio nimepokea 1000.00 nilitoa macho nikaanza kuzihesabu zero kwa sindano. Nikidhani ni ka laki duuu kilinishuka shuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.