Nikuweke sawa.Hapa kwenye kufikisha maiti nyumbani saa tatu au saa nne asubuhi ni kwa kuwa jamii hii ni ya wachapakazi.muda huo kijijini watakuwa wameshaamka kuwapa mifugo chakula na kazi nyingine maana maiti ikishafika hakuna mwanaukoo anayeruhusiwa kufanya chochote hata kufungua duka hadi...
Nyerere alikuwa anaona mbali sana aliposema siasa ni kilimo.ni aghalabu kumsikia mtu mwenye shamba la chakula na ufugaji akilalamika humu.'Nendeni mkalime.
Sent using Jamii Forums mobile app
YAANI UKILOGWA UKAMKOPESHA MTAJI GRADUATE WA TSH.500.000 KITU CHA KWANZA ATAWAHI SAMSUNG YA 450.000.HIZI NDIZO AKILI ZA HIKI KIZAZI KIPYA CHA NYOKA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania walizoea unafiki na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.Huyu raisi ni msaada toka kwa Mungu ili tuachane na unafiki wa kuoneana aibu.Tumekuwa na matatizo kutokana na viongozi wapumbavu wa awamu zilizopita.Mungu akulinde Magufuli raisi wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimu acheni majungu.kiingereza hamjui mnawachongea walimu wenzenu wa nje wasifundishe.Hivi bila kiingereza kijana atafanya kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli huna kazi za kufanya.Fahamu watu wanaolala hotelini ni kwa matatizo yao mbalimbali wangine wasafiri.NENDA KAFANYE KAZI ACHA KUWAZA KWENDA KUSHINDA MAHOTELINI SAA 24.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mtoa mada hamnazo.nilidhani anaelekeza mbinu za viwanda vidogo kama kupaki maji ya kuuza au kilimo kumbe pombe? hao wateja utawapata wapi na kila mahali ni biashara hizo za wachagga na wapare zimezagaa?
Subiri siku utakapoibiwa na mwizi umemfahamu na alipoweka mali, uende polisi uwaambie wasitumie force kumkamata mwizi wako bali wakupe service ya kwenda kumuomba jambazi lirudishe mali zako kama litarudisha.
KERO YANGU TBC NI TAARIFA YA HABARI DAKIKA TANO MMESHAMALIZA.RADIO YA KANISA INATANGAZA HABARI NYINGI ZILIZOTAFITIWA KWA DAKIKA KUMI NINYI MNASHINDWA NINI.NDIO MAANA RAISI AKITUKANA WATU NAMKUBALI.HATA MAFANIKIO HAMTANGAZI? WALE WEZI WA PESA ZA UMMA JE WANA NAFASI TENA AWAMU HII?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.