Hivyo vyeti unavitaka ndio vitakuletea ugali wewe na familia yako?
Lipumba na uprofesa wake hajawahi hata kuvunja rekodi ya Mrema kwa ubora wa uongozi namavyeti yake.
Acheni ubwege angalieni kazi nyie ndio wote wamadawa yakulevya
Ivi mbona unaandika vitu kama huna hata punje ya upeo wa kufikiria?
Achana na roho ya kwanini.
Huo ujambazi na unyama unao fanywa na waTanzania kule unaujua?
Kosa lao wamejisababishia wenyewe hiyo hali usihusishe Raisi au balozi zetu kwa chuki zako binafsi
Jamani mbona iko wazi tu kwamba madawa ya kulevya hayatakiwi nchi kibatu hata huko Jamaica tunakojua marasta yao bangi bado wanakamatwa wakivuta adharani.
Hapa kwetu kila siku wanakimbizana watumiaji na mapolisi mpaka mirungi nayo nishida.
Sasa kama Manji akigundulika sheria hiyo hiyo itatumika...
Hapo mwanzo si ndio nyie mlokua mkitaka watu watajwe na Kitwanga kwasababu kulikua na maslai yenu mlotegemea sasa imegeukia kwenu mnaona Makonda afai asinge mtaja mbowe yote malalamiko yasinge kuwepo.
Kwani hao wengine walotajwa hawana jamii inayo wategemea?mpaka nao wasichafuliwe? Acheni zoezi...
Mmbea tu Eli hiyo njaa kaiona wapi mbona bei za vitu hazina tofauti yoyote yakusema kuna njaa.
Kama huko Handeni washazoea kuuza chakula chote wanacho lima kisha wanaangaika na wamekata misitu kwa kuchoma mkaa ndio kaeaida yao.
Huko Bukoba asijifanye ndio mwema kisa tetemeko kwa upande wangu...
Anacho fanya mkulu sawa tu.
Miradi mingi serikalini imepita kwa pesa nyingi lakini hakuna kilichofanyika.
Vitu vingi vilikua chini ya viwango na mingine kuto fanyika kabisa.
Mfano vitambulisho vya uraia.
Pesa iliotumika nikubwa sana wakati watanzania hawakupata hivyo vitambulisho na bado vilikua...
Uzi haujasema wanawake ni malaya hapana hapo inazungumziwa kauli ambayo ipo kwa kinadada wengi kwamba wanataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu.
Kwaupande wangu wangetafuta jibu jingine.
Mara nyingi majibu yao huwa ni general kwa wadada wengi kama wanafundishana haswa wenye uwelewa wa mjini sanasana
Unalalamikia pesa za tetemeko zimeibiwa zirudishwe we umetoa?
Na kama zinaibiwa wale walio endelea kutoa niwapumbavu kuliko wewe unae lalamikia wakati hujatoa hata nguo za mtumba?
Sasa unapandisha watu vyeo kimazoea mwisho wa siku ndio wanajichukulia maamuzi kimazoea.
Mshahara hata waongeze laki shida aziishi watu walikua wanaongezwa mishahara kila mwaka na walikua hawakai ofisini.
Mbona saizi wanapatikana ofisini bila kuongezwa mishahara?tulizoea mambo yakijinga hii ndio...
Eli kama anaweza akafungue kesi aone kama huyo alie mtukana hajakamatwa sasa kama yeye katulia nyie wapambe msaidieni kumsimamia kesi zake.
Hata hiyo ya God lema Magu hajawahi kwenda mahakamani msiseme uonevu tu
Waingereza walitoa pesa na kusema ikasaidie miundo mbinu hasa shule ndio maana kwenye jiwe la msingi walikuwepo na ndio wametoa pesa nyingi.
Mbona wasiseme wajengewe watu kwahiyo nao hawana utu?
Tusikimbilie mada kama huna upeo nayo,
Unaruhusiwa kusoma mada za wengine we ukachuna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.