Mimi naona changamoto pale Mbezi Louis. Wake askari hawafanyi kazi sawasawa, hawaangalii mistari ya abiria mpaka inavurugika ndo utawaona na pia hawana kauli nzuri ya huduma kwa wateja. Pili naona ni muda muafaka wa kurudisha kadi na Sisi tuwe tunachanja maana tumezidiwa na TERESA wao wana kadi...
Kwa kweli alifanya maamuzi ya ghafla sana. Ni bora hata angempa talaka ,wanawake wamejaa wengi. Licha ya maandiko matakatifu yakituhusia tuishi nao kwa akili,inaonesha dhahiri kuna changamoto kubwa kwa mwanamke katika maamuzi yake.
Suala la Somalia naomba walitupilie mbali maana hao jamaa sidhani kama tuna biashara tunaweza fanya nao. Maana wao nahisi wanafikiria tunaweza wauzia Silaha wakauwana. Hizi nchi nyingine ziwe zinakuwa vetted kabla ya kuingizwa kwenye Jumuiya.
Mara hii speedometer zimeshasoma? Ila kama umenunua chombo mpya,mtengenezaji angetufanyia bure gharama za ukarabati.Je tumepata faida kiasi gani kusudi tutoe gharama za ukarabati? Nisaidieni wenye vikikokotoo
Mimi nimejaribu kuuliza kuhusu hiyo Xtrail na nimepewa majibu tofauti tofauti.
1. Ila ni magari imara kama unmalitumia vizuri
2. Spea zake ni ghali kwa kuwa hakuna 'fake'
3.Unatakiwa ufanye matengenezo (maintenance) kwa wakati
4. Mafundi wanashauri unapolinunua kutoka nje, shughulikia...
Mporipori kwenye gazeti la Ambha. Ila kwenye sani kulikuwa na hadithi nyingi kama za Ngome ya ole, pia kuna hadithi za Pablo Zungu.,
Watoto Mapacha - Itakuwa sani au tabasamu (sikumbuki hasa gazeti lipi kati yake)
Wachoraji:
1. John Kaduma (nasikia ni marehemu)
2. Ras Kaka Jofu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.