Waziri wa Ajira na Kazi; je unajua katika taifa hili huru bado kuna namna fulani ya ukoloni na ubaguzi mkubwa sana ambao unajikita katika misingi ya rangi ya ngozi zetu.
Mheshimiwa Waziri, kuna watanzania ambao kwa asili wanatoka bara lingine lakini wana uraia wa Tanzania, Watanzania hao...
Naomba kutoa ushauri kwa serikali ya jiji la Dodoma kuhusiana na mnada wa nyama msalato.
kwanza nianze kutoa pongezi kwa mamlaka ya jiji la Dodoma kwa kuenzi utamaduni wa kula nyama kila siku ya jumamosi lakini naomba kutoa ushauri kidogo kuhusiana na mazingira yake ya uchomaji nyama na...
Karikaoo ni soko linalokutanisha watu wengi kutoka ndani na nje ya nchi na ndo sababu kuu likapewa hadhi yakuwa soko la kimataifa lakini ukweli ni kwamba mazingira na namna biashara zinavyoendeshwa ninachelea kulipa hadhi yakuwa ni soko la kimataifa. Ukiangalia miundo mbinu na namna biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.