CCM INAMTAFUTA MCHAWI.
Ukisikiliza hotuba ya Rais wakati akipokea Report ya CAG unaona CCM ilivyochoka akili mpaka Mh.Rais anataka kulia machozi kabla ya kutafakali kauli Rais Samia kwanza turudi kwa Mwl.Julius Kambarage Nyerere kama kiongozi aliyekandamiza demokrasia kutokana na uamuzi wa...
Unachosema ni kweli hali ya maisha ni ngumu sana nauli zimepanda sana ninachoweza kushauri tafuta nyumba kulingana na uelekeo wa kazi zako kama haupangi ila kama unapanga basi inabidi uhakikishe na shemeji yetu na yeye achakalike ili mpinguze makali ya maisha. Ni ushauri tu mkuu.
**BUKOBA
Baadhi ya wakazi wa Mtaa Mafumbo na Rwome Kata Kashai Maniapaa ya Bukoba Mkoani Kagera wameendelea kuteseka na umeme maana msimu wa senene mwaka huu baada ya furaha imegeuka kuwa karaha.
Wachuuzi wa senene wa usiku wanafunga taa zao za senene ili kujitafutia kipato chao ili kupata...
Msiwe mnatoa maneno msiyoweza kuyasimamia swala la UTI nikubwa kiasi kwamba serikali isipotoa tamko kwenye maabara za mitaani zitembelewe na wamiliki pamoja na wahudumu wapewe miongozo ili waache tabia za kutoa majibu negative badala ya postive au postive badala ya negative. Niwakumbushe kwenye...
Mto KANONI una historia yake ambayo kama watawala wangeamua kuifuatilia uenda ufumbuzi wa kudumu ungeishapatikana tumeshuhudia kila nyakati za masika watu wanahama kutoka Omukigusha kwenda maeneo mengine kupisha maji ambayo yamekuwa yakijaa kwenye majumba ya watu, kuziba njia za kupita na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.