Umesahau kuwa watakuja watu siku ile ya mwisho wakisema "Bwana tulitoa pepo kwa jina lako" naye atawajibu "ondokeni kwangu sikuwajua ninyi"?
So kuwa na upako, kuponya wagonjwa, kutoa pepo na ishara zingine zozote sio uthibitisho ya kuwa uko na Mungu au Mungu amekutuma...
Cool down please!
Mungu hajawahi kujipinga kwenye neno lake, akataze jamii moja nyingine airuhusu... watu ambao wana exception ni wayahudi tuu, ila mataifa wote tunalo Neno moja...
Mtume Paulo ndiye alikuwa mtume wa mataifa kama ilivokuwa Petro kwa wayahudi...
Kama ni katazo kwa kanisa la...
Kama ni hivo basi watanzania hawana waraka wao kutoka kwa Paulo ama nyaraka za Paulo haziwahusu....
Ninachoamini ni kwamba neno la Mungu halijipingi na kama alikataza kwa wakorintho hata sasa inatakiwa iwe hivo hivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.