Ni vizuri ndugu yangu Barghash akafahau kuwa Roma ni serikali kama serikali nyingine yoyote duniani,kwa hiyo ziara ya PM ilikuwa ya kiserikali sawa na ambavyo angehudhuria kuapishwa kwa Kenyata/Laila na haina uhusianao na ukatoliki.
Vitisho vina ukomo, hata vya Ghadafi vilifika mwisho. Ni kweli Dr. Ulimboka katekwa na kaumizwa vibaya sana. Madaktari tusiogope vitisho, haki haipatikani kwenye sahani
An LL.B. is the award of the degree of Bachelor of Laws. LL.B. is a Latin word. It stands for Legum Baccalaureus, signifying 'Bachelor of Laws'. In Latin abbreviations, the plural form of a word is indicated by doubling the letter- hence LL. is short for Laws.
Hii kweli inauma hasa kwa sababu sisi wadanganyika hatupendi kujiridhisha na jinsi mambo yanavyokwenda. Huyu jamaa ni sawa na kwenda hotelini ukaomba ugali samaki ukaletewa bill ukakimbia bila kuuliza kama kuna chakula kingine.
Kila mtanzania anayekwenda MOI kwa nafasi yake anapatiwa matibabu...
Marende ameonesha njia kwa maspika wa mabunge yetu. Katiba inataka uteuzi wa vigogo hao ufanywe kwa kushauriana....Kwetu hapa tunabadili kanuni ili mradi matakwa yetu buinafsi au ya kundi flani yatimizwe. Mliopewa ridhaa watumikieni waliowatuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.