Ndungu wana jf habari za wakati nina sm ina matatizo kidogo nilikuwa naomba kuna uwezekano kuiflash kwenye pc yangu mnielekeze niiflash au lazima niende kwa fundi aniflashie msaaada tafadhari
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake alikuwa system is runnig for selection be patient ila baada ya siku mbili walipoigia kwenye profile zao...
ndungu wana jf habari za wakati naomba msaaada wenu please je kuna utaaramu wa kudownlod app ya WhatsApp and instragram kwenye pc please mwenyewe ufahamu anielekeze
Ndungu wana JF,
Hivi tatizo la uume kusimama kila wakati ni nini? Maana hali imekuwa ya kudumu pia huwa napata shida hususani pale inaposimama nikiwa class or kwenye mkusanyiko tatizo ni nini doctor?
Habari za muda huu wana jukwaa kuna kitu kinanitatiza kidogo katika application za NACTE especily upande wa education awali mfumo ulipo funguliwa kwa walioaply upande wa education ulikuwa ni ordinary diploma in primary education durution ilikuwa 3yrs both private and government baada ya majibu...
Ndugu wana jf natumaini hamjambo
Nina matatizo kidogo katika profile yangu. Niliapply NACTE kozi ya Afya na Education na walipotoa selection sikuwemo ikanibidi KUEDIT vyuo. Baada ya siku kama sita yani leo nimesearch index no yangu nakuta nipo selected lakini profile wameandika wait for...
Ndungu wana jf mm niliaply NACTE coz zifuatazo 1 diploma ya Afya 2 diploma ya education 3 IT ufaulu DIV III 24 CIV CIV D ENG C HIST D GEO D KISW C PHYS F CHEM C BIOS C B/MATH C lakini sijapata selection jana nimedit ikakubali leo nilipo fungua profile nimekuta nimekuta vyuo vya Afya na IT...
Habari wana jf nimehitimu kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu upo hivi DIV III 25 CIV D HIST D KISW C ENG C CHEM C PHYS D BIOS D GEO D B/MATH D je second selection lakini sizani kama ntachukuliwa pia nawaza kwenda private lakini nilitamani sana kusoma sayansi nifanyeje coz nacte wanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.