Hapa maana yake ni kwamba hela zako zimewekwa kwenye prepaid wallet ya Instagram
Sio kwamba zimetumika!
Tangazo litaporuhusiwa, pesa itakatwa kutoka kwenye hii ‘prepaid wallet’ ya Instagram
Hivyo usiwe na shaka, pesa yako bado ipo
Uchaguzi wa Kenya unafanyika leo tarehe 9/8/2022
Uchaguzi wa huu una maslahi mapana si tu kwa wa-Kenya bali ukanda mzima wa E Africa, Tanzania tukiwa miongoni mwao
Wakati wa uchaguzi wa 2017 CDM walisamama na Uhuru, akashinda. Mgombea wa CCM, bwana Odinga akiangukia pua
Matokeo yake ndiyo...
Umeita Habari zenye manufaa kwa nchi?
Sio kwa ubaya, ila naona wewe ni punguani
Yaani kipindi cha JPM Habari zilizokuwa zinarushwa huko TBC and the likes ni zile zenye manufaa kwa nchi?
Habari za kina nabii Titto zilikuwa zinarushwa kwenye utawala Gani?
Au zenye manufaa ni zile ambazo JPM...
Nilisema kitu fulani Twitter, nikapewa Block
Chahali ana Roho nzuri na (huenda) anatamani kuona Tanzania inasonga mbele
Ila
The guy is a Slow learner, he doesn't see things when they are coming until when it's too late
Mifano ni mingi sana
Chahali alikuwa akimuunga mkono JPM hadi 2018...
Kwahio Mkuu unataka kutuaminidha kwamba Imani yako kwamba Earth ni Globe ni mawazo yako wewe?
Sidhani kama ni kweli, kila mmoja kasoma sehemu ila suala la kuamini kipi kati ya hayo linabaki kuwa juu yako
Hakuna mwenye mawazo yake binafsi juu ya hizi nadharia mbili
Sent using Jamii Forums...
Naomba kuuliza,
Tuchukulie ni kweli hicho kiswahili kikaruhusiwa kuwa Lugha ya ufundishiaji
Je tutapata wapi 'contents' za kufundishia huko vyuoni?
Au unataka kutuaminisha kwamba walimu kama kina Dr Bashilu wanauwezo wa kuandaa maudhui ya watoto huko vyuoni?
Tuache utani, suala la Kiswahili...
Mkuu sijapenda hii tabia
Kama unachannel nzuri ya masomo juu ya FX ni vema ungeandaa uzi wako wenye mjumuiko wa manufaa kwa wasomaji
Tabia ya kutangaza channel yako kwenye nyuzi za wengine si za kistaarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.