Nimeona niulize swali hili ambalo limekuwa linanifikirisha kwa muda sasa hususani Mara baada ya viongozi wetu wakisiasa wanapokuwa wamevaa sare za majeshi yetu katika shughuli maalum mbalimbali za kitaifa,ili niweze kupata ufafanuzi.
Nilichotaka kukijua ni uvaaji wa nguo hizo kwa viongozi wetu...
Mwishowe TGNP wafunguka na kumshauri Rais JPM,kuzingatia jinsia kama inavyoelekezwa/shauriwa kwenye mikataba mbalimbali ya kikanda na kimataifa pindi afanyapo uteuzi wa viongozi mbalimbali.
Kwa kusisitiza hilo TGNP walifika mbali zaidi kwa kuchambua idadi ya kina mama walioteuliwa katika...
Hotuba iliyotolewa na Mh.Rais wetu Mpendwa Dr.JPM,kwa mtazamo wangu Mimi inastaili Pongezi toka kwa wa Umini na Viongozi wa Taasisi za Dini zote nchini.
Ninayo sababu ya msingi iliyonisukuma kupata wasaa na kuchukua fursa hii adhimu kuchangia mawazo na watanzania wenzangu katika nukta hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.