Huo mfumo wa Tarura ni wa kipumbavu sana maana mtu anaweza kukaa barabarani kila gari akiona namba anaiandikia tu parking fee.
Hata details za aliyeandika na aliyeandikiwa poja na mahali ilipo hiyo parking hawaweki na hata mtu hujulishwi kama umeandikiwa.
Yaani hii post yako imesababisha...
Tanzania ni Nchi huru. Hakuna taifa litaamka na kwenda kuamua mshindi wa uchaguzi wa nchi nyingine.
Tambua kwamba hapo unaambiwa hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa.
Hizi ni hadithi za Yesu na wafuasi wake siyo Tanzania na wananchi wake.
Kama Magu alisema yeye ni jiwe kwelikweli haimaanishi...
Nakumbuka kabla ya njaa kulikuwa na shibe. Sasa siku moja tukiwa tunalinda ndege shambani tukaletewa chakula, baada ya kula na kushiba tukatupa ugali. Ikapita miaka kadhaa njaa ikaja. Njaa ilivyokuwa kali tukakumbuka ule ugali tuliotupa miaka kadhaa iliyopita ilibidi tirudi kuutafuta ule ugali...
Angalia huyo mjaluo kama chimbikonlake siyo kenya utapigwa hela zako ma atasepa. Vinginenyo wajaluo makubaliano ya mahari hufanywa na baba mzazi wala siyo ndugu wa mke. Mama mkwe yeye anapewa blanketi na hela kidogo kama laki mbili.
Unachukua ndugu zako kama wazazi wanakaa meza mona na mzazi...
Kwani NEC na CCM wana utofauti yoyote? Unategemea CCM afuate sheria na tataribu kumteua mpinzani wake huku akijua uwanjani hawezi hata kucheza pasi mbili bila kutoa boko anategemea ujanja wa refa.
Kwani NEC na CCM wana utofauti yoyote? Unategemea CCM afuate sheria na tataribu kumteua mpinzani wake huku akijua uwanjani hawezi hata kucheza pasi mbili bila kutoa boko anategemea ujanja wa refa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.