Habari za muda huu wakuu.. Nmekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa wapi Sufi znapatikana na gharama zikoje Nina plan kuanza project ya kutengeneza mito. Karibuni kwa Mawazo mbarikiwe.
Habarini za muda huu wakuu. Nimekuja kwenu nahitaji msaada Nina wadogo zangu nawasomesha naulizia shule nzuri za private wilayani kahama mkoa wa shinyanga ambapo watapata elimu bora. Mbarikiwe
Habari za Jumapili wakuu,
Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani amgepata kitu cha kumsaidia msichana wangu anauso wa mafuta kiasi ameshajaribu kutumia mpaka zile...
Ilikuwa 22-06-2016 ilitoka kauli hii, ''NASITISHA AJIRA KWA MWEZI MMOJA AU MMOJA NA NUSU, HAITAZIDI MIEZI MIWILI'' sasa miezi mitatu itatimia kesho kutwa.
Msema kweli mpenzi wa Mungu.
#Natafakariiiii.......
Wakuu habari...
Kwa alichokisema Simbachawene janaa aisee ina maana tangu Februari wanaujua ukweli wameficha na wanakanusha. Sasa kama sababu ni walimu wa arts si waajiri wa sayansi jamani.
Hii serikali nisaidieni kuielewa....
Nawasalimu ndugu zangu.kumekua na matamko mbalimbali juu ya swala la ajira hatimaye raisi akafunga milango mwezi na nusu umeisha ivo..." Haitazidi miezi miwili" lakini mara issue ya vyeti feki inaibuka napata shaka sana juu ya ili mwenye kuelewa juu ya hili tafadhari maana upotoshaji umeenea ...
Mimi ni mjasiriamali mdogo natafuta duka au supermarkets ambazo naweza kusupply bites.kwa yeyote mwenye kufahamu tuwasiliane. Bidhaa nazo tengeneza ni visheti,halfcake,bisi,Karanga za mayai crips.
Siku njema.
Habari za jumapili wanajamvi? Ningependa kuuliza juu ya uhusiano uliopo kati ya msongo wa mawazo na kupata siku za mwezi mwanamke mwenye kufahamu juu ya hili Tafadhali.
Nina dada yangu ambaye amepata matatizo kikazi kwaiyo karudi nyumbani. Ana mawazo sana... Na imetokea mwezi huu hajapata siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.