Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu.
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo.
Kutoka barabara kubwa mpaka kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000...
Wazo zuli, lakini maharage yana aina tofauti tofauti lazima uangalie unataka kuuza maharage ya aina Gani? Na utaka kuuza kwa level ipi?? Jumla au reja reja
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado hakijapimwa, umeme upo,
kutoka barabara kubwa mpk kwenye kiwanja kwa boda boda ni elf 1000
Kama unaweza fanya biashara ya boxer, Kuna boxer zikuhizi zinavaliwa na wadada na wakaka, Kuna boxer za BSG na Timberland zinakamba zinakaa PC 12 kwenye dozen 1 hizi boxer ni chambuu,( hazifanani rangi) ukichukua kuanzia dozen 10 wanakuuzia kwa 380,000 Ina maana utapata dozen 1 kwa sh 38,000...
safi sana kaka, mimi nipo karagwe mkoa wa kagera, baada ya kupata changamoto kwenye biashara ya vifaa vya simu na m-pesa Nimefikiria mwaka huu nifanye biashara ya mtumba kwa kuanza na Tshirt kufungua belo grade 1 pamoja na simple jacket , maana kwa huku naona biashara ya mtumba bado iko chini...
Habari, umesema Una 100mil sawa, je hiyo pesa unataka kuweka yote kwenye biashara moja???
my take hy pesa igawanye mara 3!
1. Tafuta eneo la karibu na bahari ambalo unaweza kununua au kulikodisha Kwa makubaliano maaalum, kisha tengeneza barabara mfano wa mji barabara hizo ziwe na alama zote za...
Hapo kuna sababu 2 za msingi mikono yako ni milaini sana imeathiliwa na lotion Kali unazotumia kujipodoa, au mikono yako ni migumu sana imeathiliwa na kazi ngumu unazofanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.