Hahahaha wapumbavu wanaongeleaga watu na kufikiria watu ....inahitaji hekima na uwezo mkubwa wa akili ya maana kukuza mali ....wote tunajua upumbavu wa wanasiasa hasa hasa wakwetu
nikufahamishe tu unaowaona wanaaagiza mabus mengi wako in business for 7+ years wako na reputation kwanzia ndani ya nchi mpaka nje ya nchi kwenye kampuni za mabus wako na njia zao nyingi za kupata mitaji either ya pesa au mabasi yenyewe ......kuna kupata mikopo(pesa au mabus yenyewe) through...
uache mambo ya kishoga....kama mtu hafai kwenye circle yako endelea na maisha yako ila isifikie hatua ya kupangia watu maisha....everybody has choices.....
Jana ulituma account ya twitter nikaend cheki mkeka ulikuwa wa odd 1000 nikashuka. Kwenye replies nikakuta watu wameedit wana utuma upya kuna mmoja ulikuwa na odd 64 ivi nikauchukua kama ilivyo nikaweka kuamka leo ni timu moja tu imezingua ....wanaigeria ni wapambanaji kila sehemu tukatae...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yupo hai apo ndo kimbembe japokuwa anamke ila kama akija mkoani mipango yake nikupasha kiporo apo ndo mtiti
Kwani kufungua baa ndo nini .....mbona makanisa na misikiti wanapokea pesa za michango na sadaka kutoka kwa hao. Watu na sio hao tu ....moyo wa mtu unabaki na jinsi alivyo mkumbuka muumba wake usijikute mtu wa kuhukumu saanaa......
Daaaah mimi ni huyu mnyamwezi (hakunaga mnyamwezi alieniachaga salama) single mother shombe shombe dahhhh yaaan kanizidi miaka mitatu na ni mtoto wa mjini haswa ila ukorofi wake ninavyoadisiwaga akifika kwangu anavyotulia kama uji wa juzi penzi analonipa (tunalopeana ) duuuuuh japokuwa nia yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.