Nimeaema unashangaa nini wakati hiyo sio jipya?
Na ni kweli ina nafuu kuliko ya jiwe maana serikali imetoa notisi na watu wanaweza kujadili na serikali ikasitisha ama isipositisha angalau mtu hautachomewa vifaranga vyako ukiwa hujui lolote
Hadi uzalishaji wa vifaranga wajasiriamali wa ndani wanahitaji kulindwa?
Hivi kuna ntu mtu ataagiza vifaranga nje ambavyo ni gharama zaidi kama kuna wazalishaji wazuri wanawe kutosheleza soko? Mbona tunakuwa tunadeka sana? Hadi kuzalisha vifaranga tulindwe?????
Unazingua mkuu... mbona kaongea tu kawaida hapo?
Na kuua viongozi wa upinzani mpaka rais aamue, polisi hawawezi kujiamulia jambo kubwa kama hilo bila go ahead ya Rais
Au unadhani Sirro ndio alijiamulia mwenyewe shambulio kubwa kama lile la Lissu!!?
wameongeza Sudan, Congo, Burundi, Rwanda wakati ya awali ilikuwa haijawa integrated vizuri
Bado wanataka kuiongeza na Somalia...
Jumuiya za maana kama EU hawaongezi wanachama hovyo hovyo tu
Nimeona hii habari kwenye ukurasa wa chombo kimoja cha habari huko Kenya.
Kuwa wachambuzi wa masuala ya uchumi na siasa wanahofia Kenya inaweza kukumbwa na kilichoitokea Sri Lanka sababu hali ya nchi hiyo inaelezwa kufanana na ile ya Sri Lanka.
Sri Lanka ni nchi iliyoelemewa na madeni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.