Aisee kupitia wewe umeniganya nibadirike kabisa ile dhana kuwa uislamu nidini yafujo imeanza kuyeyuka taratibu, na je hao wanaowachukua watoto nakuwapeleka porini kisha kuwapa mafunzo yaugaidi hapa nchini nawengine wameenda mbali zaidi wanatoa mafunzo ya karate misikitini hao unawazungumziaje...
Mwanangu mbona unanitisha hivyo kiongozi wangu? Kusema kweli ndege hazizoeleki jaman mm sijawahi panda ndege kwenda nje ya nchi lkn kwahapa nyumbani nimepanda mara kadhaa lkn ukweli wa Moyo wng ni Mungu pekee anaeujua ninakuwa kwenye hard time sana nikiwa kwenye ndege inafikia mahali nawakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.