Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
S
Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%
Ikiwa wewe ulikula kinyesi usitake na wenzako wale kinyeshi. Sifa zibaki hivyo hivyo
SAMSON MGAYA
Post #140
Aug 17, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%
Mbona hizo sifa zilikuwepo tangu kitambo.
SAMSON MGAYA
Post #11
Aug 16, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Ukaguzi wa vyeti sasa watinga TRA. Namba zinazidi kusomeka...
Ukaguzi huu ni kwa watumishi wa umma na sio wabunge
SAMSON MGAYA
Post #7
Jul 26, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Taarifa ya BAVICHA kuhusu Mikutano ya CCM Dodoma
Mtutajie majina ya hizo gest ambazo polisi waliingia na kuwadhalilisha wanawake
SAMSON MGAYA
Post #125
Jul 17, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM
Si kweli huyu MKURUGENZI yupo huku bhanaaa
SAMSON MGAYA
Post #170
Jul 13, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo
Mie Afisa mifugo Halmashauri ya Mji Tarime natafuta mtu yeyote aliyopo Mkoa wa Iringa,Njombe,na Mbeya call me through 0762940676
SAMSON MGAYA
Post #58
Jul 1, 2016
Forum:
Jukwaa la Ajira na Tenda
S
Kamati ya maadili ya bunge kujadili kitendo cha Clouds Tv kumhoji shoga
Mbona wamekemea bhanaaa. Akiwemo agness marwa aliyetaka clouds ichukuliwe hatua
SAMSON MGAYA
Post #83
Jul 1, 2016
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
S
Mkuu wa Wilaya Serengeti aliyeteuliwa kimakosa aaibishwa kwa kutolewa nje ya Ukumbi Ikulu
Mbona alitenguliwa masaa 24 baada ya uteuzi. Leo alienda kufanya nini huko?
SAMSON MGAYA
Post #176
Jun 29, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mzimu wa ‘Bunge Live’ watikisa, wananchi watinga mahakamani
Msiseme wananchi semeni wanachama wa chadema
SAMSON MGAYA
Post #18
Jun 27, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Wabunge wote wa Upinzani yaani UKAWA, watoka bungeni
Kwani wapinzani wamefukuzwa ? Wao si ndio wameamua kutoka?
SAMSON MGAYA
Post #57
Jun 23, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma
Tafuteni wa kuwadanganya
SAMSON MGAYA
Post #80
Jun 23, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
MBUNGE Mh. Anatropia amjibu Mh. Godluck wa Ulanga
Mbona Magufuli alivaa mavazi hayo je ni Kosa?
SAMSON MGAYA
Post #29
Jun 22, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka
Na saizi wamesema kama una mpenzi wako ni mbunge wa ccm achana naye. Huu upuuzi siwezi siwezi kuufanya hata kidogo
SAMSON MGAYA
Post #31
Jun 22, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Kanali Lubinga: Mwandishi habari ya kuibiwa Kifaru atasimulia tumemshughulikiaje, ukatili hauepukiki
Hilo gazeti limekuwa likizusha mambo mengi sana. Naomba jeshi limunyoshe maana hakuna namna
SAMSON MGAYA
Post #257
Jun 21, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Upinzani Tanzania hakuna, wapi mawazo mbadala?
Naunga mkono hoja
SAMSON MGAYA
Post #22
Jun 20, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
UKAWA wanavyodharau bunge, viongozi wake
Yaliyoripotiwa ni ya kweli au uongo? Kama ni kweli pongezi kwa Habari Leo na kama ni uongo jitafakarini vizuri.
SAMSON MGAYA
Post #10
Jun 19, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini
Mambo yote hayo tanaongozwa kwa mujibu wa sheria na si kwa maagizo ya mtu fulani.
SAMSON MGAYA
Post #89
Jun 18, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mhe. Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya CHASO kesho
Daaaah Mheshimiwa kaishiwa kwa kweli. Bada wataanza kumualika mpk kwenye kitchen party sasa
SAMSON MGAYA
Post #189
Jun 18, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Hellen Kijo Bisimba ni nani?
Watu wanakatwa mapanga hatoi tamko ila wabunge wakitolewa anatoa tamko.
SAMSON MGAYA
Post #79
Jun 17, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mgeja: Rais mstaafu Mkapa ni jipu, afikishwe mahakamani
Mie nashauri hiyo mahakama ianze na LOWASA maana ndo jipu kubwa
SAMSON MGAYA
Post #33
Jun 17, 2016
Forum:
Jukwaa la Siasa
1
2
3
Next
1 of 3
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back