Naomba kuuliza jamani kwa mwenye majibu au uelewa wowote ule ili walau iwe msaada hata kwa wengine wasiojua.
Unapoulizwa katika interview kiwango cha mshahara unaotaka kulipia ukitaja wanakuuliza kuwa ni basic au gross? Hapo wanakuwa Wanamaanisha nini? Na je kwa mtu anayeanza kuingia kwenye...
Mko poa wadau wa humu,napenda kuwapa pole na majukumu pamoja na mihangaiko ya hapa na pale....
Naombeni kama kuna mtu anahitaji mtu wa kumuuzia duka la dawa za binadamu sehemu yoyote pale hapa Dar tuwasiliane..kuna ndugu yangu anatafuta kazi hiyo ye kasoma nursing na pia ana cheti cha ADDO, ana...
Mko poa wadau wa humu,napenda kuwapa pole na majukumu pamoja na mihangaiko ya hapa na pale....
Naombeni kama kuna mtu anahitaji mtu wa kumuuzia duka la dawa za binadamu sehemu yoyote pale hapa Dar tuwasiliane..kuna ndugu yangu anatafuta kazi hiyo ye kasoma nursing na pia ana cheti cha ADDO, ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.