Search results

  1. M

    Mchungaji aliyepigwa Kigoma kisa Kamchape ulikuwa wakati sahihi kuonesha nguvu za Mungu sio kupiga simu Polisi

    Hilo Yesu alishalikataa, wanafunzi wa Yesu walipomuuliza tuite moto kama Eliya....Yesu akawaonya akawaambia hamjui ni roho wa namna gani mliyenaye
  2. M

    Hatutarajii Julius Mtatiro kufanya uzinduzi wa Guest House huko Shinyanga

    Kuna watu wanakaa hapo Daslama hawajui ni mambo gani yanayotokea vijijini na ni kwa kiasi gani yanamuitaji mkuu wa WILAYA aliyenyooka
  3. M

    Hatutarajii Julius Mtatiro kufanya uzinduzi wa Guest House huko Shinyanga

    Nakwambia nimefanya kazi na Mtatiro na ni mtu wa kutaka matokeo na sio longolongo
  4. M

    Hatutarajii Julius Mtatiro kufanya uzinduzi wa Guest House huko Shinyanga

    DED hawezi kwan anatumia taaluma kwenye utatuzi wa matatizo jambo linalochelewesha maamuzi kwenye jamii....mfano atataka mlolongo wa mahakamani kwenye mambo ya buu baa hivyo kufanya jamii iwe na vuguvugu jingi kwenye mambo yasiyohitaji joto
  5. M

    Hatutarajii Julius Mtatiro kufanya uzinduzi wa Guest House huko Shinyanga

    Nimefanya kazi Halmashauri na pia nimeratibu kazi kadha wa kadha kutokea ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kwa mfumo wa nchi yetu, na ucheleweshwaji wa mambo hasa utaratibu wa mashauri mahakamani, na matukio yasiyo na kichwa wala miguu yatokeayo kwa wanainchi ni WAZI OFISI YA MKUU WA WILAYA BADO INA...
  6. M

    Hatutarajii Julius Mtatiro kufanya uzinduzi wa Guest House huko Shinyanga

    Nimefanya kazi na Mtatiro bega kwa bega kwa kipindi kadha wa kadha huko Tunduru.....mnyonge mnyongeni haki yake mpeni....Mtatiro ni jembe sana, kwa Tunduru ilivyo na geographical position ikichagizwa na ukubwa wa Wilaya ambapo kuna maeneo ni zaidi ya 110 km kutoka makao makuu ya Wilaya na hali...
  7. M

    Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

    Whether one agrees or not it's clear that Magufuli's mindset displayed animosity towards certain groups or individuals. This is evident in his actions and statements, which were divisive and often targeted particular communities or political opponents. It's evident that there's a stark...
  8. M

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Hapa sio January...hata tuzungumzie alichokisema January Makamba...mbele ya lile SATAN angefanyaje January zaidi ya kutii matakwa yake....Death to MAGUFULI....DEATH TO MAGUFULI What we need to examine are the veracity of Makamba's statements. Magufuli's actions seemed to reflect animosity...
  9. M

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    The act of demanding people to kneel before you is akin to playing God. Magufuli's desire for such worship led to his downfall. He is deemed the worst president ever, seeking to divide us along tribal and religious lines. Let him rest where he belongs, in the graveyard.
  10. M

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Huyo Magufuli alileta nini zaidi ya kuuwa sekta binafsi??? Mshamba hatakiwi kwenye kiti cha Urais....
  11. M

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Magufuli alijifelisha mwenyewe kwa kutaka watu wamuone kuwa yeye ndio MUNGU Haijalishi SAMIA atakosea kiasi gani.....ila Magufuli's mindset was blinded by darkness, devoid of a place in the civilized world. Let him rest in the grave where he belongs.
  12. M

    Kwanini Kilimo imekuwa ikionekana kama Sekta ya watu waliofeli (wameishiwa mbinu)

    umewahi kulima mahindi kisha zuio la kuuza njee likatangazwa? 2013 nilikuwa na gunia kama 3000 za mahindi Dodoma kidogo nipate kiharusi mahindi hayapandi bei na ndio nilitumia gharama kubwa kuyalima, 2014 sikulima.....MUNGU MKUBWA 2015 wakati anaapishwa magufuli unga kilo ulifika 2000 kwa mara...
  13. M

    Mradi wa Kunenepesha Ng'ombe

    Biashara hii naiwazia toka 2019
  14. M

    Tukio la Mlinzi wa Kanisa Katoliki Sinza kudaiwa kumlawiti Mwanafunzi, Padri asimulia kilichotokea

    PAPA alipochafua hali ya hewa kwa kuwataka waume zetu wakandane wao kwa wao ilibidi itengenezwa counter kashfa ya TB Joshua kupooza upepo
  15. M

    Wewe au Rafiki yako u/aliwezaje kudhibiti Sex Addiction?

    Wewe kandana kisawasawa, tafuta anayependa pia kukandwa daily.....baada ya miaka kadhaa hiyo hali inaanza kupungua yenyewe.....mim ni hali niliyopitia
  16. M

    Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

    Tena wale mabrazameni ndio kwanza wajifanyanya kushangaaa....oooh oi what is this. say it again....NAMCHANA NAKUPENDA NA NAKUTAKA TWNDE MUDA HII.....mara no no, no pleae
Back
Top Bottom