DED hawezi kwan anatumia taaluma kwenye utatuzi wa matatizo jambo linalochelewesha maamuzi kwenye jamii....mfano atataka mlolongo wa mahakamani kwenye mambo ya buu baa hivyo kufanya jamii iwe na vuguvugu jingi kwenye mambo yasiyohitaji joto
Nimefanya kazi Halmashauri na pia nimeratibu kazi kadha wa kadha kutokea ofisi ya Mkuu wa Wilaya
Kwa mfumo wa nchi yetu, na ucheleweshwaji wa mambo hasa utaratibu wa mashauri mahakamani, na matukio yasiyo na kichwa wala miguu yatokeayo kwa wanainchi ni WAZI OFISI YA MKUU WA WILAYA BADO INA...
Nimefanya kazi na Mtatiro bega kwa bega kwa kipindi kadha wa kadha huko Tunduru.....mnyonge mnyongeni haki yake mpeni....Mtatiro ni jembe sana, kwa Tunduru ilivyo na geographical position ikichagizwa na ukubwa wa Wilaya ambapo kuna maeneo ni zaidi ya 110 km kutoka makao makuu ya Wilaya na hali...
Whether one agrees or not it's clear that Magufuli's mindset displayed animosity towards certain groups or individuals. This is evident in his actions and statements, which were divisive and often targeted particular communities or political opponents.
It's evident that there's a stark...
Hapa sio January...hata tuzungumzie alichokisema January Makamba...mbele ya lile SATAN angefanyaje January zaidi ya kutii matakwa yake....Death to MAGUFULI....DEATH TO MAGUFULI
What we need to examine are the veracity of Makamba's statements. Magufuli's actions seemed to reflect animosity...
The act of demanding people to kneel before you is akin to playing God. Magufuli's desire for such worship led to his downfall. He is deemed the worst president ever, seeking to divide us along tribal and religious lines. Let him rest where he belongs, in the graveyard.
Magufuli alijifelisha mwenyewe kwa kutaka watu wamuone kuwa yeye ndio MUNGU
Haijalishi SAMIA atakosea kiasi gani.....ila Magufuli's mindset was blinded by darkness, devoid of a place in the civilized world. Let him rest in the grave where he belongs.
umewahi kulima mahindi kisha zuio la kuuza njee likatangazwa? 2013 nilikuwa na gunia kama 3000 za mahindi Dodoma kidogo nipate kiharusi mahindi hayapandi bei na ndio nilitumia gharama kubwa kuyalima, 2014 sikulima.....MUNGU MKUBWA 2015 wakati anaapishwa magufuli unga kilo ulifika 2000 kwa mara...
Tena wale mabrazameni ndio kwanza wajifanyanya kushangaaa....oooh oi what is this. say it again....NAMCHANA NAKUPENDA NA NAKUTAKA TWNDE MUDA HII.....mara no no, no pleae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.