parasitology, the study of animal and plant parasitism as a biological phenomenon. Parasites occur in virtually all major animal groups and in many plant groups, with hosts as varied as the parasites themselves.
Pale SUA huwezi kupewa nafasi to lecture Parasitology kama hujala BVM
hujapiga veterinary medicine na bado unataka masters ya parasitology ikupe nafasi ya kulecture kweli? jitafute kwanza upate uelekeo.....to be honest kufanya masters kabla hujapata ajira aukafanya kazi iwe private au serikalin huwezi jua hasa unachokisomea kinakupeleka wapi
kama unaham ya...
Wewe ni mjinga tena sana , Agha khan ni ile ya UPANGA isiyopokea BIMA za NHIF za kawaida,kauzile hao manesi wa center za Aghakhan mfano Aghakhan Kimara wanalipwaje,
Pili kuna aghakhan ngapi, Uliza HINDU mandali au shree hindu Arusha wanalipwa sh ngapi
Ukinitajia Aghakhan upanga mshahara wa nesi...
mdogo wangu amekuwa saidia fundi kwenye electronics kwa miaka miwili na sasa ana ajira nyeti kwenye kampuni tamu na mshahara upo juu.......haijalishi muda gani mtu takuwa chini ya mtu fulani muhimu ni apate skills zinazohitajika
Personally nilikuwa saidia fundi (kujitolea kwenye kampuni ya...
wavivu kusoma tujuzeni....kwa hiyo wanae wooote walikufa....au ni wale wa kiume tu? wa kike wapo na ni wangapi?
Maumivu aliyoyapata yanazidi hata mali alizokwapua
endelea kuamini mafanikio ni akili ya mtu....pale kwenye mawaziri ni yupi mwenye akili kiasi hicho? Mameneja na supervisors au wakuu wa idara unawaona ni watu wenye akili.....mafanikio ni roho hivyo bahati ni sehemu ya hiyo roho.
Leo upewe wewe uwaziri tuone utakaa miezi mingapi bila...
Wakati naolewa mume wangu hakuwa na kazi na alikuwa amesota sana....miezi saba baadae akapata kazi .....yule angekuwa na kazi mwanzoni asingenioa....bahati yake niliishikilia mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.