achana na takwimu za kijinga ni wangap hapo kenya wanaweza kuipata hiyo pesa kwa mwaka au unaniongelea data za kupika ambazo sio real life data za kujifurahisha huku unashindia kahawa per day
inferior complex huwezi kuelewa kwani lazima tuwe sawa na nyie kwani nini maana ya kenya au tanzania au nini maana ya family sio lazima tuwe sawa na nyie tanzania ni nchi nyingine ishini kwa mitaala yenu nasi tunafata kanuni zetu . kwani ukiongea kingereza utaonekana superior wewe kwa...
mental disease ya waafrika mojawapo ni wewe unaweza kujua english ndio kutoka kimaisha . huo upumbavu unao ongea ndio unao tufanya waafrika tuendelee kuonekana vilaza kwenye western world . unafikiri wewe uko karibu na uk kuliko france ama germany au unaongea english ili upate msaada
wanarusha mdoli tu huo angani sijaona Satelite hapo ila wamepigwa hela kwa kuuziwa hicho kikopo eti satellite [emoji16][emoji16] . siku wakirusha gps mnitag
hayo ni majina ya kabila la wajita/wakwaya 'nya' hutumika kwa wanawake na 'ma' kwa wanaume
mfano
nyasatu =jinsia ya kike'
masatu= jinsia ya kiume
nyafuru =jinsia ya kike'
mafuru jinsia ya kiume
kwa hiyo usishangae majina mengi ya kike yanaanzia 'nya' na ya kiume huanzia 'ma'
hahah unachekesha sana sasa karachi nao mji au unafikiri hizi gdp za kuandikwa kwenye wikipedia ndio real life yaani hapo karachi bora hata maisha ya nairobi
superiority Fighter f-16 iliyo shutwa na technology ya zaman ijulikanayo kama s-200 [emoji23][emoji23] hakunaga hapo cha five generation hapo wala nn kama f117 na ujanja wote wa kutoonekana kwenye radar lakini akashutwa na kombora ya kizamani pia
Nope ile ni green screen ama blue screen tu wale hawanaga location za ukweli ila sema wanaweza chukua mazingira ya mji flani na ikaonekana ni kweli wamechezea eneo flan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.