Search results

  1. father

    Zitto Kabwe aomba Bunge lisimamishe shughuli zote juu ya Jairo!

    Mh zito, kauli ya Katibu mkuu kiongozi ni dharau kwa bunge, kwa kuwa suala hili lilianzia bungeni
  2. father

    Pengo amtolea uvivu Kikwete

    Tunasubiri majibu kutoka Kurugenzi ya mawasiliano
  3. father

    Museveni afanya kufuru-ateua mawaziri 76...........

    Mambo ya Africa yanaumiza sana kichwa. Kwa nini asiongeze idadi ya watendaji kama anataka kazi zifanyike. Mawaziri zaidi ya kuwa wasemaji au political figure wana kazi gani zingine
  4. father

    Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

    Nchi yetu ni shamba la bibi. Tunahitaji mabadiliko makubwa kwenye sekta ya madini. Najiuliza kwa nini hatukujifunza kwa kuangalia mikataba ya madini kwenye nchi nyingine kama Ghana, South Africa nk. Au sisi ndo wa kwanza kuingia mikataba ya uchimbaji madini hapa duniani?
  5. father

    Mwakalebela ashinda tena,Takukuru Waumbuka !

    Haya yalikuwa ni majungu ya kisiasa tu. Mbona wabunge wengi tu walisikika wakitoa hizo rushwa wakati wa uchaguzi?
  6. father

    Kweli kila mjanja ana mjanja wake!!

    Duu, kwa hiyo binti ilikula kwake
  7. father

    Jumuiya ya Wazazi CCM yalaani maandamano ya CHADEMA

    Kaazi kweli kweli Mbona hawajibu hoja hata moja? Waitishe basi mkutano wa hadhara ili watoe majibu kwa wananchi badala ya kuongea na vyombo vya habari
  8. father

    Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

    Kama ni unataka kuoa binti wa ukoo wa mafisadi hiyo milion 6 ni vijisenti tu. Kwanza wanakushangaa kwa nini hukulipa palepale !
  9. father

    Wadau: Dowans imechimbia kaburi CCM

    Labda wanaamini hiyo bil 94 wakiipata wanaweza kununua nguvu yote ya Umma, na kuusambaratisha upidhani kabla 2015
  10. father

    Hii ndio inaitwa Kutongozana, nyingine miyeyusho

    Ha ha ha, Kwa hiyo inabidi jamaa asubirie maeneo ya kisimani au mtoni na kesho yake. Maana hakuna mawasiliano ya haraka na ya uhakika. Inabidi uwe unajua ratiba ya kuchota maji.
  11. father

    Grand Theft: Vodacom, Airtel, Tigo, Zantel na Sasatel - Wanachochea ufisadi?

    Watanzania wengi mishahara yetu ni chini ya 300,000. hiyo laki 5 ni kubwa sana. Mtu wa hali ya chini anatumia wastani wa sh 1000 kwenye simu kwa siku. Hapo ataweka sh 500 kwenye line 2 tofauti kwa matumizi tofauti kama internet nk Matumizi haya ni ya kawaida kwa ajili ya ku beep, sms nk...
  12. father

    Wadau: Dowans imechimbia kaburi CCM

    Inaonekana kuna watu wachache tu ndani ya CCM wanaoelewa faida za malipo kutoka Dowan, waliobaki wanaburuzwa tu ili kulinda itifaki ya chama
  13. father

    Wadau: Dowans imechimbia kaburi CCM

    na wakijilipa wamekwisha !!!
  14. father

    Hii ndio inaitwa Kutongozana, nyingine miyeyusho

    Huyo jamaa angemtua kwanza huo mzigo, hapo ilivyo atasindikiza hadi mwisho wa safari hakieleweki kitu
  15. father

    Unataka kuoa??

    Natokea Iringa, nina watoto 4, kila mtoto ana mama yake,, upo tayari? niku PM?
  16. father

    Naogopa kumwambia

    Tandaza rupia kama huwezi kulianzisha, then yeye ndo atavunja ukimya
  17. father

    Sitta: nitaendelea kuipinga DOWANS kwa nguvu zangu zote, sitanyamaza

    Tupo pamoja mpaka tuutokomeze ufisadi, lakini sijui kama atafanikiwa kwenye hili la Dowans, Sijui kwani viongozi wakuu hawataki kutoa msimamo wao
  18. father

    Mapenzi ktk vyuo kuu

    lakini ni asilimia ngapi wanaoanzisha mapenzi chuoni wanakuja kuoana na hao wapenzi wao? Kama sio pass time
  19. father

    Kwa wale wasio na mvuto wa kimapenzi tu

    Asije akawapa dawa ya kumpenda yeye, kama sehemu ya masharti ya tiba
  20. father

    Prof. Tibaijuka ahamishia kibao kwenye 'beacons'

    Kujenga juu ya beacon au kufungia beacon ndani ya fensi yako ni tatizo linalohusiana na open space. Ila hii ni open space ndogo kwa ajili ya watu kupita
Back
Top Bottom