Nimeweza Kuongea na ndugu wa karibu na ame confirm kwamba jamaa alifariki jana Nairobi Hospital ambapo alikuwa amelazwa kwa almost two weeks. Alikuwa ameenda Nairobi kwa sababu dawa zake alizokuwa anatumia zilikuwa hazifanyi kazi, kwa hiyo madaktari wakawa wamebadilisha dawa zake. Alipokuwa...
Ingawa Mkono si msafi, nampongeza kwa kuweka politics on the side na kuweka maslahi ya taifa mbele. Naon amesoma alama za nyakati.
On my opinion naona hili swala lina mkono wa JK, kwani ameona hakubaliki na sasa akaona ni bora akimaliza kipindi chake amalize na CCM yake(meaning iondoke...
Sijui swala la urahia wa Hussein Bashe, lakini nilichotaka kusema kwamba I did get an opportunity ya kukaa na Bashe pamoja na Benno kwenye kikao. Huyu kijana Bashe ni balaa, hapo kichwani yuko vizuri sana. Kutokana na maongezi yaliyokuwa yanaendelea, mtu yeyote angechuja jinsi Benno kuwa...
Huyu Hakimu Mwale juzi juzi alikuwa involve kwenye maswala ya mgogoro wa kanisala la Kianglikani Arusha, ambapo alikuwa akitetea kutosimikwa askofu mpya kwa sababu za kugushi cheti cha kumaliza form 4. Alionekana kama mtetezi wa waumini na kupinga maovu na ufisadi wa kidini. Kumbe na yeye ni...
If JK can be able to run 42 million mouths, what else can go wrong? He has been an incompetent leader period. Kujichekesha hata kwenye majanga ya taifa. At least a business person can see we get money worth out of our mining sector.
Kuna habari zinasema Membe kupewa Wizara wa Fedha na nafasi yake kuchukuliwa na Mbunge wa Bumbuli January Makamba. Pia Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa kurudi katika baraza jipya na kushika Wizara Ya serikali za mitaa.
Yaleyale yakufunga paka kengele...Cheyo ndio aliyemshauri Mkapa kuundwa kwa TAKUKURU wakati akiwa Waziri wa Sheria. Na Mkapa akampa get go, kwa hiyo watu wote waliko huko ni yeye ndio aliwaingiza, kwa hiyo ni vigumu kumshutumu na skendeli zote. It is sad lakini ndio ukweli..
Blog ya Michuzi ilikuwa imepata muda mzuri wa kushine wakati huu wa kipindi cha uchaguzi. He has been so biased to the ruling party CCM bila kuficha. Kama mwandishi he has to be fair kwa both parties na kutoa report na meendeleo ya vyama bila kuwa na upande wowote. Kama kaamua yeye ni mpenzi wa...
Unabii wako Mkjj umetimia. Umenikumbusha sana barua aliyoandika Martin Luther King kwa wafuasi wake, akiwa jela huko Burmingham Alabama.
Aliwatia moyo kuendeleza mapambano na kutabiri mengi ambayo tumeyaona yakitokea nchini Marekani kwenye harakati za civil rights mpaka sasa Obama anashika nchi...
hapo halipo leo akiiona hii video anabwabwaja machozi. Its a classic and a lesson to all CCM leaders who thought they will rule us to the end of time. "Its a new day, its a beautiful day".
CCM wanajua kwamba wako kwa ajili yao binafsi na ndio maana wanajaribu kila njia kustick pamoja, maana as individual hawawezi kusimama.
Ndugu Sumaye tuko na wewe, wamejuaje unawasema kama sio kwamba ni wanafanya maovu uliyayataja? Nakushukuru kwa ujasiri wako kutamka na kukemea maovu, kwani...
Du jamaa lazima aliona Kiza mbele, cha kunishangaza zaidi madaktari wake walimruhusu kurudi kukwaani.
whenever their is concution or loss of consious, it take a while kupata fahamu zako zote. wengine inawaaffect siku nzima.
Sasa yeye kurudi jukwaani na kuanza kuongea, wataalamu watakwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.