Awali ya yote ningependa kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mh Dr Tulia Ackson Mwansasu Naibu Spika wa Bunge la Tanzania kwa namna anavyo ongoza bunge letu hili la 11.
Baada ya uteuzi wake watanzania walio wengi walikuwa na hofu juu ya utendaji wake katika bunge hili ambalo 60% ni vijana,ni bunge...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HONGERA RAIS MAGUFULI KWA MSIMAMO WAKO JUU YA MSAADA WA MCC
Ndugu wana habari,Awali ya yote ningependa kuwashukuru kwa muitikio wenu wa kuja kusikiliza msimamo wa chama chetu kuhusu kile kinacho itwa msaada wa MCC.
Mmekuwa mkifanya hivyo kwa muda wote pale mnapo...
MSIMAMO WA UPDP JUU YA UTENDAJI WA RAIS MAGUFULI
Awali ya yote ningependa kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dr John Pombe Magufuli kwa ujasiri alio uonyesha wa kupambana na ufisadi uliokuwa umekisiri katika taifa letu.
Watanzania kwa ujumla wetu tuna paswa kumuunga mkono...
Hapa naona tofauti ni chama tu hawa ukawa wale ccm....tusitegemee chochote kwa hawa watu wote ni wachumia tumbo tu.
Zitto mpk leo anaonekana msaliti kwa sababu ya posho hzi hzi,ambazo mbowe alizipinga awali baaadae akawandumila kuwili kwa wananchi. anaenda chukua posho.
UKAWA ni mamba aisee Lissu ,Lema ,Mnyika na vilaza wengine kama hao uwa wanakuwa wakali sana kwenye baadhi ya vitu ila hapa wapo kimyaaa kama vile hawapo. pia mkuu wao nae kimya hawa ni mamba tu....Naanza kumuunga mkono Zito kwa sasa.
:banghead::mad:POSHO ZAWAUNGANISHA CCM na UKAWA
Tayari bunge limeisha andaa waraka kwa ajili ya kuupeleka kwa Rais aweze kisaini ili kupitisha posho zinazo itwa kiinua mgongo zenye thamani zaidi ya Mil 230 kwa kila Mbunge.
Katika hali iliyoendelea kushangaza na kupima uadirifu wa wabunge wa...
Tayari bunge limeisha andaa waraka kwa ajili ya kuupeleka kwa Rais aweze kisaini ili kupitisha posho zinazo itwa kiinua mgongo zenye thamani zaidi ya Mil 230 kwa kila Mbunge.
Katika hali iliyoendelea kushangaza na kupima uadirifu wa wabunge wa ukawa ni kwenye hili baada ya kukaa kimya kabisa...
Tambua asilimia kubwa ya sisi wa tz ni mazuzu.
Tunarusha makopo kwa Diamond kwa wivu tu na si kingine.
Uwa hatuna kawaida ya kusifia vijana wanao tutangaza kama Diamond
Zitto Zuberi Kabwe......umetisha sana endelea kukimbiza kama kawaida yako.
Updates
(A).Amini ninachokisema mkuu kwani mm sina kadi ya chama chochote, anasema yeye hatagombea ubunge na hajasema yeye ni lazima agombee urais lkn kama atapewa ridhaa yuko tayari kwani anajua anaweza na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.