Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa...
Habari ya leo waungwana, bila shaka wote mpo wazima kabisa, nahitaji kuwasilana na Dr.W Slaa nafahamu kwa sasa hayupo nchini basi yeyote ambaye anaweza akanisaidia Email ya DR. au njia yoyote ile ambayo naweza nikawasiliana na DR, kwa urahisi nitashukuru sana nina shida zangu binafsi tu naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.