Una nyumba ngapi?
Magari?
Biashara ngapi?
Unaingiza sh ngapi?
Mdogo wangu manaume asifiwi kwa kufanya ngono sana hasa katika ulimwengu ambao ngono ni cheap.
Najua mpaka sasa utakuwa ushajua faida ulizopata ni ndogo kuliko hasara
Una miliki demu unakuja porwa na wenye cheo na uchumi
Mwenye cheo na uchumi anakufa unarudishiwa makombo unaanza kufakamia makombo as if sio makombo
Ama kweli wanaume tunapungua sikuhizi
Ndo nini hiki kupenda kitonga au
Japo mi mkristo ila unachosema nu kweli
Jamii za kiislamu zina ustaarabu sana kwenye biashara na mambo ya wizi wizi sio mkubwa kuliko jamii za kikristo.
Huo ni ukweli kabisa
Koo mbili zenye laana zimekutana.
Wewe umetoka huko na laana za kwenu za kutamani hadi mzazi wa mke wako
Mkwe wako nae ana laana ya kutamani mume wa mwanao
Kifupi nyie mnataka kuendeleza kizazi cha LAANA
Na watoto wako ndo kabisaaa watakuja kumgonga mkeo sasa wewe chukulia masihara hivyo...
Kwamba wewe kwenu ulikuwa kazi yako kula na kulala
Ulikuwa ufyeki nyasi
Ulikuwa ufagii wanja
Ulikuwa huendi kuchota maji
Maana usigekuwa ulikuwa unalelewa kimayai wewe then unataka kuleta uzi wa kutujumuisha wote
Hiyo kwa sisi tuliooa tunaita ‘njia ndefu’
Njia ndefu ni nini?njia ndefu ni style ya wanawake kutaka jambo/kuomba jambo bila kusema moja kwa moja hivyo wanatumia njia ambayo kimsingi ni ku catch attention yako yote kwa kuku torture kisaikolojia mpaka wewe ndo uanzishe maongezi then anasema...
1.Hamna mwanaume wa kueleweka anayeweza kuja kusaidiwa na utajiri wa mwanamke
2.Umri unatupendelea wanaume
3.pisi kali ya o-level ukikutana nayo chuo unajisemea hivi ndo huyu niliyokuwaga na mpenda mbona hana uzuri wowote[emoji28][emoji28][emoji28].Hii ni kweli sana
4.kutesa kwa zamu
Mimi naota mambo yanatotokea mbele hasa hasa hatari zinazokuja mbeleni
Nilivyokuwa mdg nilikuwa naota na pambana na wanyama hasa nyoka na fisi anaingia ndani ya nyumba kupitia kwenye pembe ya nyumba then anakuja kitandani basi tunaanza kupambana mpk anakimbia
Achana na wachawi ambao karibia...
Huyo anajiuZA unge bargain tu
Ungemwambia nina 50k ila njoo ghetto bila pichu..
Akikataa unamwambia basi sawa
Ame assume hela yako haina thamani ila mwili wake ndo una thamani?[emoji1787]
Huyo mwanamke atakusumbua badae
Na kwa ujinga wako kwakuwa umeona kufanya kazi kwake ndo kigezo cha yeye kuwa mke basi atakusumbua zaidi.
Mwanaume yeyote anayetafuta mwanamke kwa kumuangalia status yake ya kimaisha basi bado hajajua nini cha kuangalia kwa mwanamke wa kuoa.
Elimu na kaZi ya...
Code za kiume zinakataa
Ila kwakuwa vijana wa siku hizi mna umama mwingi we muoe tu
Ila akianza kumpiga mashine mkeo usimuone km snitch sababu u snitch ulianza wewe
Dogo kuwa makini ukichimba shimo maana unaweza kuingia mwenyewe kwanza…
Unakuta mwenzako ana virusi vyake nae anakusubiri kwa hamu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Kwani we unaona hizo ni akili zake???
Hivi unadhani anatuelewa tunavyomwambia hao wana lao jambo?Zaidi ya kung’ang’ania kumtetea Mpenzi wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuja mambo mengi
1.Una trauma ambayo hutaki ku admit una historia mbaya na wanawake au mwanamke uliyezaa nae ni km hatoshi kuwa mkeo au una soma taarifa mbaya mbaya kuhusu mahusiano.
2.Una jini mahaba
Mke wangu ameshawahi kuwa na jini mahaba ni balaa sana ni vile tu mimi nina nguvu ya asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.