Pia mkumbushe ya kwamba KARATE au mchezo wa kujilinda kwa kutumia mikono mitupu hautokei CHINA.. Karate ni JAPAN, uandishi wake tu inaonekana hio ni CHAI aseee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante prof J Majani na Ulamaa
Mmegusa nnapopataka nami kwenye mtazamo nna jambo nataka kuweka
Maana kila kukicha mc’s wanaongezeka
Nasema very nice yes rap kama dhehebu mc’s kama wafuasi
Wingi wa wasanii inaonesha ni dini swafi
Yaan imekubalika
Waumini tupo wengi lakini bado nina shaka...
Mtazamo ndio ilianza mkuu!! Na hata ukitafuta magazeti ya kipind hiko ya Global publishers utakuta pale kwenye shindano la mfalme wa rhymes kwa afande wimbo ni mtazamo
Wew n legend humu ila nastaajabu unavyopotoshwa na huyo jamaa!
Katika kinyang'anyiro Msindi alikua amesimama na wimbo wa mtazamo na ndio huo uliompa ufalme.
Ile siku anatangazwa jukwaan kua ameshinda ufalme wa rhymes akapanda jukwaan akautambulisha wimbo mpya ambao ni darubini kali.. Na hata...
😂😂 sawa mkuu! Ila ni mtu ambae namkubali maan ni shabiki wake tokea akiwa ni presenter wa Dume challenge na ule wimbo alioshirikishwa na Dimpoz aliutendea haki but baada ya pale zote alizotoa za kwake hakuna hitsong!! Ukweli uzungumzwe
Kwangu mimi kila nikisikilizaga mama yoyo akili inakwenda mbali sana hasa nikiwaga kweny hustling au hard time hua nauweka huo wimbo!! Ni wimbo ambao unaishi moyon mwangu na siuchokagi aseee
Wimbo uliompa ufalme wa rhymes Afande ni MTAZAMO na sio darubini ila siku anatangazwa kua mfalme ndio siku alipoitambulisha rasmi DARUBINI had akawa anaombwa na mashabiki aurudie mara kwa mara!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.