Nakuunga mkono. Alieharibu ni Mh. Mbowe kwa kutosimamia kile alichokiamini kwa muda mrefu. Kitendo cha kutoka gerezani na kulegea pasi na kupingwa na walio wengi kwenye chama chake, kumeleta shida sana katika kusimamia misingi ya chama chao. Sasa hivi wanahangaika tu, hawajui washike lipi...
Lengo la kufunga ni kupata njaa ili yale maumivu ya njaa yalete toba ya kweli wakati unamwomba Mungu akusamehe na kukuhurumia dhambi zako. Hawa watu wengine ambao kwao funga imegeuka kuwa badikiko la ratiba ya kula na sio kufanya toba wana shida kubwa sana.
Kabla ya mfungo walikuwa wanakula...
Ni kwa sababu ananunulika na CCM mnahitaji watu kama hao. Halima hana tofauti na Zitto na wengine wanasiasa malaya malaya.
Heche kwangu mimi ndie chaguo sahihi baada ya Lissu.
Itoshe kusema hoja yako haina mashiko na umetumia low key kufikiria.. tumetawaliwa na wazee kwa muda mrefu sana, wametuletea nini? Kama unadharau vijana kwamba hawawezi kutoa huduma ya utawala, hao wazee ni nini wameweza? Itoshe tu kuwa akili zenu CCM zinawaza utumbo always.
Katiba bora na...
Watu kama nyie mnatuchelewesha dana kupata maendeleobya kweli. Wakati mwingine huwa nafikiri kwamba nyie sionraia wa nchi yetu na kwa hiyo hamna cha kupoteza. Ni changamoto zipi ambazo zimetatuliwa kwa kiasi cha mwendelezo? Hakuna, tunajidanganya tu. We need to be more serious vijana. Acheni...
Kwa taarifa yako, siku ikikamatwa yenye rangi na bendera ya chadema, ndio watakoleza na kukinukisha chama. Acha kujitoa ufahamu.
Gari ina jina na umiliki wa kada wa CCM, utaachaje kuihusisha? Vijana mtakufa masikini kifikra. Wenzenu huko Afrika Magharibi wameamka tayari. 20k zisiwadumaze akili.
Mshahara wangu ni 327,000/= Ninakatwa mkopo 122,500/=. Take home baada ya makato na michango 154,415/=
154,415 X 12 = 1,852,980/=.
Wenzangu mna siri sana. Yaani mnachukua mara mbili ya ninachokipata kwa mwaka. Daaaah
Kijana mwanaume mzima unajadili watu wanaokupambania uwe na kesho nzuri. Hizo 7k unazopewa wewe za uchawa kuna wenzako hawapati. Mbowe anawatetea muwe huru unaleta mambo ya kike. Hatari sana.
Hata kama mkuu, ila haiwezi fika hiyo 1.3b. Gharama imekwenda sana labda ni 700M mpaka furnitures ndani. Ila asante kwa maangalizo yako, ingawa wengine watasema wewe ndio Mwijaku mwenyewe maana sio kwa maswali dadavuzi namna hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.